Je walipo halalisha ndoa za jinsia mmoja walitizama dini zao?je sheria zinapo sena ndume mbili zi pigane miti je hii ni kwa sababu ya dini zao au inatokana na asili ya dini yao...jbu swali hili
Kitu nilicho fikia kukiwaza wengi sisi uaga ni watu wa kufata mkumbo usio manufaa,huyo ruto yupo hapo alipo kwa katiba mpya, na hao wengine nao mifumo ilikua ni iyo ila tuu kupitia njia iyoo....siasa ni mbinu ya ushawishi
Apa naona akili za kipinzani au upinzani wa levo za juu za kimataifaa zaidi..huu ndo uchanganufu wa kimikakati ya upinzani,na hili kama chadema mkiwa na akili kama izi mtakua na maana halisi ya upinzani ...upinzani sio kuropoka tuu ovyoo, upinzani ni kuegemea haki na kua muazi .....hongera...
Tatzo la chadema mna fanya vizuri ndani ya anga za tz lakini siasa za inje ambazo hufanya upinzani ukawa solid hamnaa,mna kurupuka sana kutolea maamuzi katika siasa za inje ambazo mnge pata platform yenye maana ,mnapenda kukurupuka mnoo,malema ana nguvu katika vugu vugu na hii ni moja ya sababu...
Hatari unaileta wewe sisi tunao mjua huyu mzee huku ujerumani na uengereza wewe ndo utaonekana juha,inapo tajwa dini ya kiislam tu katika swala basi wenye mikuki mshachomoa kuwarushia,
Mpaka sasa bado vijana walio wacha nchi za kiafrika ni mazuzu,je majengo na makorokoro ndo kitu cha kusifia,daaah hawa watu uku ulaya wametupita mnoo,huku watu awasifikiagi vitu vya kawaida .....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.