Recent content by Rhz4567

  1. Rhz4567

    Wassira: Lukuvi alijiunga TANU 1954

    Labda alifikiri kasema mwaka 1974
  2. Rhz4567

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Itakaye unda timu ndy muhusika wa kilakitu kuanzia mo29
  3. Rhz4567

    Makonda: Kombe la AFCON litabaki nyumbani

    Labda waibe kama wanavyoiba uchaguzi na mali za wananchi.
  4. Rhz4567

    Kaka yangu ameoa ila mimi sijaoa na nina miaka 46

    Sheria ni Moja Usipo oa utaolewa tu
  5. Rhz4567

    Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Karibu tena uraiani mkwe wa Obama @Degratius kisandu
  6. Rhz4567

    DVT ndio Ugonjwa uliosababisha Kifo cha Denis Busulwa "Ssebo"

    Ndiyo zao utafikiri wao hawatakufa
  7. Rhz4567

    DVT ndio Ugonjwa uliosababisha Kifo cha Denis Busulwa "Ssebo"

    After one week of birth operation Figo zikafeli zote unataka tutafute sababu? Tulimuachia Mungu.
  8. Rhz4567

    DVT ndio Ugonjwa uliosababisha Kifo cha Denis Busulwa "Ssebo"

    Ndugu yangu alisababishiwa tatizo la Figo wakati wa operation ya uzazi. Madocta wa bongo wanajua tu kuvaa miwani lakini vichwani hakuna kitu!
  9. Rhz4567

    DVT ndio Ugonjwa uliosababisha Kifo cha Denis Busulwa "Ssebo"

    Labda vikao vya chai. Ukitaka shida nchi hii nenda katibiwe hospital za serikali,nyie hamchelewi kumsababishia mgonjwa tatizo lingine la ugonjwa ili mpate hela.
  10. Rhz4567

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Rais yoyote akitoka ccm ujue hakuna kitu mambo ni yaleyale
  11. Rhz4567

    MREJESHO 2,, Mwanamke akimbia ndoa yake kisa kazi

    Ukitaka kutapeliwa kinamna yoyote Ile Uwe na hurama na tamaa. Kaka nadhani hizo sifa mbili unazo,kama huna hizo sifa basi isingekuwa unatusumbua hapa na habari za huyo Malaya wako.
  12. Rhz4567

    Rais wa Marekani, Donald Trump Amethibitisha Kifo cha Khamenei

    Aisee binadamu tunajisahau sana. Watu wanafurahia damu kumwagika! Nani ataishi milele
  13. Rhz4567

    TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

    Willy ngoma ni kamanda kweli kweli Kama hii taarifa ni kweli basi M23 wamepoteza mwanajeshi kiongozi mahiri sana Kwa mapambano.
Back
Top Bottom