Recent content by rfjt

  1. rfjt

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    __________________ ___________
  2. rfjt

    Wapi naweza pata laser pointer na breadboard?

    Hata mimi nahitaji hiyo breadboard..
  3. rfjt

    Tatizo la umeme Kigamboni

    Tatizo hili limekuwa sugu.
  4. rfjt

    Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete afiwa na kaka yake

    Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiun!
  5. rfjt

    Kuna nchi yoyote yenye barabara/mtaa wenye jina la kiongozi wa Tanzania?

    Ni kweli, Harare Zimbabwe kuna barabara moja inaitwa Julius Nyerere Way.
  6. rfjt

    Nisaidieni Kuipata software hii: VerbAce Pro

    Bado nasubiri... sijaipata hii soft bado..
  7. rfjt

    Nisaidieni Kuipata software hii: VerbAce Pro

    Mchango ni Sh. ngapi? nipo tayari kuchangia kiasi kilicho ndani ya uwezo wangu. ..... Angalizo: Natumia windows 8 na avast internet security. Kwa uzoefu wangu cracked soft mara nyingi huwa zinashishindwa kuelewana na w8 pia avast. Kama itafanyakazi vizuri nitashukuru.
  8. rfjt

    Nisaidieni Kuipata software hii: VerbAce Pro

    Bado nahitaji msaada ndugu zangu...!!!!
  9. rfjt

    Nisaidieni Kuipata software hii: VerbAce Pro

    Feedback: Baada ya kuingiza details hizo kwa kuishughulikia code moja baada ya nyingine, majibu yalikuwa mamoja '' Licence version is older than this software. Do you want to upgrade your licence to the latest version?'' Na nilipokubali ku-upgrade nikapata majibu '' This licence code is invalid...
  10. rfjt

    Nisaidieni Kuipata software hii: VerbAce Pro

    Habari wanaJF Niliidownload VerbAce Pro 8 version 2.2.0.0 na kuitumia kwa wiki moja ikiwa ni trial version. Kwangu ilikuwa nzuri sana kwani ilikuwa inanisahisishia katika masomo yangu ya lugha. Baada ya muda wake kwisha nimekuwa napata taabu sana kufuatilia maana ya maneno mbalimbali. Nimejaribu...
  11. rfjt

    Vodacom Unlimited Data bundle for 1000/= Tshs.

    Tatizo la voda wanaleta kitu kizuri halafu tukishaizoea wanasitisha na kutuacha na huzuni.
  12. rfjt

    Tuna siku tatu hatuna Umeme Kigamboni

    Asante sana Mbunge wetu kwa updates, ni kweli umeme umerudi..na umerudi kabla ya saa sita mchana. Tunakushukuru kwa ufuatiliaji wa karibu kwa niaba ya wananchi wako.
  13. rfjt

    Sheria ya ndoa za jinsia moja Tanzania

    au kupiganishwa wenyewe kwa wenyewe.
Back
Top Bottom