Dr.dennice
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 216
- 48
Well said mkuu
Kama unaushahid peleka mahkamniLugumi, rushwa million 10 kwa kila mbunge wa ccm, malipo ya IPTL, rambirambi ya tetemeko bukoba
Umeshaelewa ndo maana unakimbiaKama kuwa na akili ndo ivi nimegairi kuwa na akili!! Ngoja tu nikanywe viroba
Uandaaji wa mikataba ya hiv viwanda yeye ndo alingia au? Chunga majibu sawa kuna mkataba wa kiwanda gan alchosain na umeanza tendewaa kaz chunga kaulViwanda vinajengwa mkuu inline na Backbone grid, nenda Kigoma na Kagera ,nenda Mkuranga na Kibaha , nenda Mchuchuma na liganga mkuu
Sitaki kua mnafiki kabisa. ..kumbe wana CCM wengi walifurai kuona Maxence Melo Mubyazi akiwa rumande..katoka leo naona wengi ndo mnakuja humu na mada za kipuuzi kabisa...Ila Maxence hauna kinyongo kweli hizi nzi za kijani ilibidi zipumzike
Kawaida yao,
Wanasoma na kuishia mitini
wewe ningekujibu sema naogopa mto ruvu na kufanywa kama BenUkweli wanaujua sana
Hao cdm ndio kirusi kibaya kuliko vyote kwa sasa Tanzania!!
Umeona wapi watu wakawa wanafiki na wazandiki kama cdm!!?
Cdm inaviongozi wapuuzi kulio viongozi wa vyama vyasiasa duniani,
Wafuasi wake nao ndio shida na majanga kabisa.
Leo wanapenda hili
Kesho hilohilo likifanywa na serikali wanaanza kutapika viroba hovyo!!
Leo waki sema jambo vibaya
Wewe tulia kesho litakuwa zuri pale tu alie litenda jana kaungana nao!!
Ninacho mshukuru mungu nikuwa
Kampa uwezo Rais wetu kuelewa hawa watu niwapuuzi na wakupuuzwa
Ni wasaka tonge tu tena niwachafu kuliko vile wanavyo onekana,
Hivyo Rais ana wapuuza na kufanya kile anacho kiamini sio kufuata kile wanacho kiamini hawa Wanafiki.