Katika Jiji la DSM kuna kisiwa maarufu sana ambacho hata Serikali imefikiria kujenga mi mpya. Ni huko Kigamboni.
kwa siku ya tatu leo hakuna Umeme; mji huu mpya unategemea maji kutoka katika visima virefu (Hakuna maji ya kutoka RUVU) ambavyo lazima Pump itumike kuvuta maji.
Hivyo kutokana na ukosefu wa umeme siku ya tatu na haijulikani itaisha lini imekuwa ni kero kwa wakazi wa mji huo mpya.
hakuna Umeme, hakuna maji.....Siku ya tatu Giza, no kuoga, no kufua, vyoo vinanuka na hakuna mawasiliano ya simu kwani zimezima charge.
Jamani TANESCO FANYENI JUHUDI KUWARUDISHIA HUDUMA YA UMEME
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!