Nimekuw nikifwatilia mjadala unaoendelea kati ya vilabu vya ligi kuu vikiongozwa na Geofrey Nyange Kaburu na TFF ambapo vilabu vinataka ligi kuu uendeshwe na kampuni kama FIFA wanavyotaka na kama inavyofanyika katika nchi za Kenya, Uganda, na Ulaya lakini TFF hawataki kwa kuhofia kupoteza Mapato...
katika pitapita kwenye mitanndao ya kijamii leo nimekutana na hii
watanzania wenzangu, msilalamike sana! nchi yetu ina majanga mengi ambayo yamekuwa yakituumiza mwaka kwa mwaka zaidi ya huu umeme, lakini tumekuwa wastahimilivu kupita Mungu alivyotarajia. tuendelee tu na uvumilivu huu utazaa...
Wiki iliyopita nilikwenda Tabata magorofa ya NSSF kumjuza hali mama yake Zitto, ni kweli anaumwa na anahitaji ukaribu wa kijana wake, ikumbukwe kuwa mama yake Zitto pia ni Kamanda ndani ya makamanda waadilifu wa CHADEMA, jeikei na wazushi wengine acheni chokochoko zsizo na msingi na muacheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.