Ugomvi wa Kidini ndani ya Chadema

Vipi? kwani ni uongo? piga simu Chadema uwaulize, mpaka jamaa, Abuu, anashinikiza Mwenyekiti ajiuzulu, hata TBC wametangaza hii habari.

Mtawanunua sana viongozi wanafiki ili mfanikishe azma yenu, ila mwisho wa siku itakula kwenu. Kama mlifanikiwa kuwazuia wakristo kujiunga na CUF kwa kukipachika label ya chama cha kiislamu, this time imekula kwenu wananchi wamewagutukia. Uzuri ni kwamba strategists wenu ndani ya UWT wenye jukumu la kuiua CDM ni wanamageuzi wazuri waliochoshwa na upuuzi wenu. CDM will prosper more and more, the only way to demolish CDM ni kuhakikisha kuwa maisha ya watanzania mnayaboresha haraka iwezekanavyo kabla ya 2015, otherwise mmeumia
 
Jamani waislam siku zote wanapochemsha hukimbilia kusema wanakandamizwa kwa sababu ni Waislam!Siku zote wanapotofautiana na mkristu hukimbilia kusema jamaa anawapinga kwa sababu ni mkristu. Mfano leo hii pale sinza Waislam wamegombea msikiti baadaye kiongozi wa msikiti anasema hao jamaa waliovamia msikiti ni Wakristu!! NAPENDA KUTOA ANGALIZO KWAMBA: Siku wakritu wakiamua kujibu mapiga hapo ndipo vita vya kidini vitaanza. kwa macho wangu naona muda huo umekaribia sana! its just a few years to come.
 
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.

Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?

Useless!
 
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.

Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?
Nilishakuuliza zamani kama umeolewa?
 
Tanzaniaaaa Tanzaniaaaaa... nakupenda kwa muoyooowoteeee!

Mkitafautiana majina tu tabu tayari! Jina fulani ni la dini fulani! Kwetu kuna Josia na kila siku yuko Msikitini!!! Na kuna Zubeda kila wikendi anakwenda kanisani.... yawezekana huyo Abuu na mchungaji wamekosana kanisani pia!

Uko VERY VERY VERY RIGHT Mwanamageuko bravooo.
hawa wanaufuata majina ni watu wasio fikiria kabisa na ndio baadhi ya hawa huwa wanang'ang'ania kuzika maiti zisizo za kwao.

hawajui kwamba, kuna kipindi enzi za mwisho za uongozi wa Nyerere au mwanzo wa uongozi wa Mwinyi km zijakosea, ilikuwa MARUFUKU MTU KURUDIA STD SEVEN(VII).
SASA HAPO WABONGO SI UNAJUA, walichenza hiyo ngoma kwa kubadili majina kishenzi maana mbongo hakubali kushindwa.
wapo walioingia hata makanisani na misikitini bila kupenda mradi waipate Elimu.
ingawa sheria ilikuja kulegezwa, wengine MAJINA YALIKUWA TAYARI YAMEWAKAA na hawakutaka kubadilisha tena.

Sasa hapa nataka kupasua jipu kwa kusema, KUNA WATU HUMU WANAMTINDIO WA UBONGO NA wamesahau Historia. hawa nawakumbusha tu.
Lakini pia kuna wengine ndio sasa wamekuwa na enzi hizo walikuwa hawajazaliwa au walikuwa bado wadogo sana hawajui, hao pia ninawapa somo hili.

Conlusion: Ukisikia mtu anaitwa sijui Issah, Yahya, au Bakar si lazima awe Muislam ndugu zangu ni majina tu. Ktk Biblia wapo pia kina Suleiman .
Na hata ukisikia John (au Yohana),Bathlomeo, barnabas nk si lazima awe Mkristu ni jina tu.

Mwisho: Jina la mtu si dini yake dini ni imani yake na huwezi kuiona kwa macho bali kwa matendo ya mtu anayetii dini anayoifuata. Amen
 
nimesilia tbc habari imetangazwa kishabiki kama kawaida madai ya bwana diwani alieshindwa ni kwamba mwenyekiti wake hakumsaidia kupata ushindi pia hakuwa na mawakala ndio maana kesi yake dhidi ya alieshinda imekuwa haina nguvu swala la udini analijua zoba labda anamshauri huyo alieshindwa alifanye la udini.kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo juu wananchi wa sasa wanawajua mamluki huyu mtu afuate taratibu za chama hatapata chochote kama amepandikizwa. anapoteza muda wake
 
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.

Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?


Mawazo ya Zomba ni ya hatari na yanahitaji kuupuzwa kabisa!!!!
Political extremism involves two prime ingredients: an excessively simple diagnosis of the national's problems, and a conviction that there are identifiable villains back of it all.
Wewe Zomba na watu wa jamii yako ni wa kuogopa kama ukoma katika nchi yetu kwa maslahi ya amani yetu. "When the power of love overcomes the love of power, the world will know peace"
 
Jamani mambo ya tofauti za kidini yukaziache kabisa. CCM ilipotupiga risasi Arusha haikutuuliza kwanza dini zetu; tayari tumempoteza Ismael Omar na yu le Mkristo Dinisi.

Tukiendekeza mambo ya tofauti za kidini basi watawala wadhalimu watatumaliza. Tuwe kitu kimoja wakristo kwa waislamu, CUF na CHADEMA.
 
Si ngojeni magazeti ya kesho, muone hii habari. TBC walishaitangaza.
 
Kwa mujibu wa habarti za uhakika kuto Mkoani Iringa, ndani ya Chadema mkoa wa Iringa, kuna ugomvi wa kidini umezuka baina ya mwanachma mmoja kwa jina Abuu na Mbunge ambae ni Kiongozi wa kanisa.

Haya jamani, ikiwa ndani ya chama ni hivyo! Jee nje?

Watch your bottom
 
Peace of tihS!Udini hautowasaidia chochote zaidi ya kuwadumaza zaidi so be my guest and keep it up!
 
Usipotumia akili zako ewe mleta mada, utaichukia jf bure.,.utasema unaonewa... unapewa nafasi nyngne, ongeza maneno uliyoyaacha kwny hilo bandiko.,.usitafute wa kumfia bana!

Endeleeni tu kuonea! Potezeni thread zote zenye kueleza matatizo ya CHADEMA lakini tutabanana hapa hapa!
 
You are not a reliable source when it comes to matters CHADEMA. You have earned your pay.



You should end ...............as I am ready to agree that I have two eyes as far as agreeing will will harm CHADEMA!
 
Back
Top Bottom