Vipi? kwani ni uongo? piga simu Chadema uwaulize, mpaka jamaa, Abuu, anashinikiza Mwenyekiti ajiuzulu, hata TBC wametangaza hii habari.
Mtawanunua sana viongozi wanafiki ili mfanikishe azma yenu, ila mwisho wa siku itakula kwenu. Kama mlifanikiwa kuwazuia wakristo kujiunga na CUF kwa kukipachika label ya chama cha kiislamu, this time imekula kwenu wananchi wamewagutukia. Uzuri ni kwamba strategists wenu ndani ya UWT wenye jukumu la kuiua CDM ni wanamageuzi wazuri waliochoshwa na upuuzi wenu. CDM will prosper more and more, the only way to demolish CDM ni kuhakikisha kuwa maisha ya watanzania mnayaboresha haraka iwezekanavyo kabla ya 2015, otherwise mmeumia