Usijiue binti yangu, Mungu amekuonyesha kuwa huyo sio mtu sahihi kwako haijalshi mmepanga nini bali ni nini mpango wa Mungu ktk mahusiano yenu, kwa hiyo kama ameamua kuwa na mahusiano na mwingine basi wewe mngojee Mungu akupe Mume wako. Mungu ni mwaminifu hadanganyi, hashindwi na ana upendo wa...
I am very sorry to say that I suffered the same problem and they replied to me this morning. I would like to advise them to apologise to all of us, as we still need their service.
If this happens I will be preaching first and second service in Dar and third at around 1600hrs in Isamilo Mwanza and then will board the last flight at around 1900hrs. But yangu macho ndugu zangu, you are Blessed!!!
Kusamehe siku zote ni ngumu kwa sababu masharti yake ni kuwa usiposamehe waliokukosea na wewe hutasamehewa na Mungu utakapokosea. Kwa hiyo hatuwezi kusema kuwa hatutasamehe eti kwa sababu inauma katika hayo maumivu ni mpaka usamehe na hii ni kwa wote. Na ilianza na Mungu mwenyewe kutusamehe...
Samehe mara saba sabini and God can give you a second chance. Ni kwa sababu huyu dada alikamatwa tu lakini na yule ambaye hakukamatwa na alifanya hivyo je?? uyu dada atubu kwa mchumba wake, amsamehe na wafunge ndoa waendeleze maisha yao. Kwani ni nani asiyetenda dhambi?????
NUMBER ONE IS EDUCATION, NUMBER TWO IS EDUCATION, NUMBER THREE IS EDUCATION AND NUMBER FOUR IS THE RULE OF LAW. Hon. Freeman Mbowe receive my Hi 5, wherever you. This is all about what we miss in Tanzania regardless of all resources we have from Mwanza to Mtwara, from Dar to Kigoma. God help us!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.