Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,089
- 31,726
Mkuu mdizi mbona nipo sana labda wewe unapenda kutembelea MMMU huko sitembelei mara kwa mara.
Mkuu Ngongo
Heshima mbele .... umepotea sana humu jamvini ... nadhani ni kwasababu swaiba wako G.Lema hayupo bungeni lakini pia umetoa point nzuri sana katika sakata hili
Last edited by a moderator: