Jaman ndugu zangu mfumo wa kutuma application za ualimu sijauelewa naomba Kama Kuna mtu anafahamu pale kwenye kipengele Cha academic qualification kwa upande wa astashahada gred IIIA unaweka nn pale koz kila nikiweka inakataa ,na upande wa University/collage transcripts kwa mwalimu wa gred IIIA...
Ushauri wako nimzuri ila nikiuchambua kamavile unawapotosha wanawake namaanisha kuwa nyumba inafahari mmoja sasa wakiwa wawili hvi neno ndoa litakamilika kweli hapa wakati mwngine sio sahihi kwakuwa mwanamke kwenye familia anabaki kuwa mwanamke na mwanaume anabaki kuwa mwanaume tu na mwanamke...
Pole saana wanawake ni dynamc unpredictable ushaur usiwekeze akili yako saana kwa mwanamke atakama kwao wanakufahamu angalia maisha yako br ata mgao wa akili mwanamke alipewa akili moja we ukapewa akili tisa sasa zitumie izo tisa vizur kaka
Wabongo bhana ila ndivyo tulivyo kozi ukiambiwa kiatu Tsh 90000 ni bora unune kuliko kiwe Tsh 20000 upo tiari upoteze 50000 kwasababu hujui bei halis na haujui kwann kinauzwa Tsh20000 jamani kama unanua taratibu za manunuzi zinafahamika kama hunapesa unauchuna sio kutoa sifa mbaya kwa mtu mwizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.