ressyrutta
Member
- Nov 6, 2017
- 22
- 11
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida ndugungoja tupoke mishahara yetu kwanza kwa maana hali ilivo tata..................
Mmhh mm sijui kijadili siasa wadau am xo xory am spesfied ni commercial issues
Ok asante ntaiweka sawa nduguMkuu nakushauri uwe na tofauti kwenye lugha ya Biashara na ku Chat. Hiyo xo xory ..inapunguza kitu na mtu anaweza kukujudge kutokana na unavyo andika.
Hayo ni maoni
Wabongo bhana ila ndivyo tulivyo kozi ukiambiwa kiatu Tsh 90000 ni bora unune kuliko kiwe Tsh 20000 upo tiari upoteze 50000 kwasababu hujui bei halis na haujui kwann kinauzwa Tsh20000 jamani kama unanua taratibu za manunuzi zinafahamika kama hunapesa unauchuna sio kutoa sifa mbaya kwa mtu mwizi "mwenyewe "Hizi simu mbona zimekaa kiwizi wizi..tusije tafutwa na polisi hapa town.
internal gb ngapiS6ege 500000 mwisho 450000 j7neo 400000 mwisho 350000