Dah! Kwa hili nimeumia sana

Dah! Kwa hili nimeumia sana

ushauri gani juu ya mke wa mtu?
siku hizi mabinti wengine wameamua kuwa matapeli kwa njia hiyo...japo sio wote
 
Sijasoma yote ila naona coment zinakuuliza unataka ushauri gani tena?
Namimi nakuuliza unataka ushauriwe nini? kama walivyouliza wenzangu
 
Picha iko wazi kabisa. Huna nafasi kwake, kwa sasa. Japo ni kama wote wawili mliwekwa kwenye mizani, na mwenzio kashinda zabuni. Take heart. Anza ukurasa mwingine wa maisha.
 
Its not that complicated ujue. Drop her and move on?

Hivi unasubiri mpigane na huyo jamaa muumizane mkaozee jela au?

Wanawake walivyo wengi na wazuri?

( Hata wakaka aisee lakini kwa leo tuwaongelee wadada😛😛)
point
 
Back
Top Bottom