Hivi nchi ya viwanda lazima kulazimishana kusoma sayansi kwan wote wanataka wawe maengeneer, mnaongeza viwango vya ufaulu halaf mnawalazimisha watoto wa maskini wasome masomo ambayo hawana uwezo nayo
Dah mkuu hata kama wewe si wa imani hiyo lakini elewa kwamba huyo ni mzee kama alivyo babu yako na kitendo cha mtu mzima kuanguka iwe kwa namna yoyote si cha kukejeli namna hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.