Huu ni umbea, mtoa madam angetaja shule, walimu, na mifano ya wanafunzi walioachishwa masono.
Asa wenye mamlaka watashughulikaje na hii stori ya kilabuni.
Mm naona familia yenu imejaa ubaguzi na ubinafsi ndio maana. Mngekuwa mnasaidiana kama ndugu hayo yote yasingetokea. Ww kama umefanikiwa umeshindwa kumwinua nduguyo? Kwa nn hamsaidiani kama ndugu?
USHAURI ni kwamba Saidianeni, pendaneni, na shirikianeni, ninyi ni ndugu mtaona ladha ya upendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.