Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,616
Mpango wa Taifa wa Damu Salama ulianzishwa mwaka 2004 ambapo Wananchi wenye vigezo huchangia damu kwa hiyari ili kuhakikisha taifa linakuwa na damu ya akiba kwa matumizi ya dharura.
Baada ya watu kuchangia, damu hasambazwa katika Hospitali na vituo mbalimbali ambapo hutolewa bure kwa wahitaji hasa wale wa matibabu ya Saratani, Majeruhi wa Ajali au wanaofanyiwa Upasuaji.
Ni muhimu kwa Jamii kukumbuka na kutambua kuwa huduma ya damu salama katika Hospitali na Vituo vya Afya kote Nchini ni ya Bure hivyo wasiache kuripoti endapo watatakiwa kutoa chochote kitu pindi wakihitaji huduma hiyo.
Baada ya watu kuchangia, damu hasambazwa katika Hospitali na vituo mbalimbali ambapo hutolewa bure kwa wahitaji hasa wale wa matibabu ya Saratani, Majeruhi wa Ajali au wanaofanyiwa Upasuaji.
Ni muhimu kwa Jamii kukumbuka na kutambua kuwa huduma ya damu salama katika Hospitali na Vituo vya Afya kote Nchini ni ya Bure hivyo wasiache kuripoti endapo watatakiwa kutoa chochote kitu pindi wakihitaji huduma hiyo.