Recent content by REJESHO HURU

  1. REJESHO HURU

    Tetesi: Wachimbaji zaidi ya 200 wahofiwa kufariki huko Geita Machimbo ya Msasa baada ya maduara kuanguka

    Waweke bendera nusu mlingoti tu maana haya ni makubwa yani baafa ya october 29
  2. REJESHO HURU

    Urais 2030: Kuna Ubaya Wowote kwa Mtu Yeyote Kuwa na Ndoto ya Urais? Mkwala Huu kwa Ndoto ya Urais, Inaweza Kuwa ni Ule Uchawa wa "Atake Asitake"?!

    Ndio manaa tunataka katiba mpya kwa sababu kuna kundi la watu furani furani wamejiaminisha hii nchi ya Tanganyika ni mali yao wao si mali yetu watanganyika kwaiyo wao wana mammlaka ya kufanya jambo lolote pasipo kufuta sheria na hakuna wakuhoji Polepole yupo wapi mpaka leo vyombo vya ulinzi na...
  3. REJESHO HURU

    SI KWELI Rais Samia hakupokelewa vyema ( leo) alipokwenda kuhani nyumbani kwa Julie Manning

    Walienda kupima upepo haaa haaa kama ni kweli hiki kilichotokea mama andelee jificha tu ndani aisije kutana na wafiwa wa octoba 29 wakampiga mawe
  4. REJESHO HURU

    Ushauri kwa watu ambao pombe zinawatesa na wameshindwa kabisa kuacha kwa kila mbinu.

    Ndio hivyo inataji kujitafakari sana kwanini upende kwenda bar furani kila siku na ukifika pale huwazi kuhusu matumizi ni kuponda mali kufa kwaja
  5. REJESHO HURU

    Mange Kimambi: Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia kwa Magufuli

    Magufuli kuna kitu aliona ambacho hatutaka kutuambia magufuli alina dhamira ya wapinzani mda ule si kutetea maslahi ya watanzania zaidi ya matumbo yao kina mbowe walifanya siasa kama mradi ndio maana akawakazia hatutaka ujinga ujinga kujidhirisha hilo tumeona sasa mbowe yupo wapo na siasa zake...
  6. REJESHO HURU

    Ushauri kwa watu ambao pombe zinawatesa na wameshindwa kabisa kuacha kwa kila mbinu.

    Kuna pombe zingine mjini na uko vijijini mnalogwa na wenye hizo biashara pasipo wewe kujua ile ni biashara nikupe mfano ujawahi kwenda bar furani ukasema hapa napiga zangu mchesho bia mbili naenda kulala hapa nikitumia sana ni elfu kumi na tano tu na kweli unatumia hivyo hivyo hata kuwe...
  7. REJESHO HURU

    KERO Changamoto ya Malipo ya Posho za "HONORARIUM" TPSC Tabora

    Salimia totoz za uhazili hapo wape salam nyingi sana
  8. REJESHO HURU

    Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    Siyo chawa ni snitch anapritend tabia ambazo accepted kwenye jamii wakati yeye si haiba hiyo ndio maana kuna mda anajihau anuonyesha umadelu wake anachafua kabisa hali ya hewa
  9. REJESHO HURU

    Mnaotamani Dkt. Nchimbi awe Rais mtasababishia matatizo

    Brother pascal uzuri umekuwa katika tasnia ya habari kwa muda mredu na umeona tawala zote ukweli usemwe mama kapoteza ushawishi kwenye jamii na kanajisi kiti cha urais pamoj mazuri anayofanya jamii imeondoa omani na yeye mtaani.uki pesa chafu zimejaa vyombo usika wamefumba macho
  10. REJESHO HURU

    Just imagine kama Mwafwere yuko mahali salama anasoma haya yanaendelea mitandaoni kumhusu

    Kaka ikiwa ni kweli badi Ikiwa ni kweli basi wao kwa wao wameuzana ili kujihami zaidi utakuta mwamba alianza jiona mungu mtu sasa kwa matukio aliyofanya pengine alianza tishia maboss wakaona uyu hastahili tena kuwepo kama ni kweli
  11. REJESHO HURU

    Augustino Polepole: Najua Humphrey Polepole yupo Kigamboni, mumpeleke kwa mama yake, mkimhamisha mtajuta

    Kina grishoni wanavyopenda post unanzani wangekaa kimya kuhusu mafwele ungesikia habari hizi ni FAKE kwakua wapo kimya mpaka sasa hii habari ya mtejaji kutekwa ipe asilimia 50 maana pengine wao wenyewe wameamua mgeuka kuona uyu kimeo tukienda mahakama za kimataifa atatuchomesha so wanamua mtoa...
  12. REJESHO HURU

    Jeshi lituambie ukweli, Augustino Polepole huyu ni Kanali wa Jeshi au mwongo? Siku zote uko kimya, usalama wetu uko wapi?

    Genge la wahuni unasema jeshi la wanainchi ebu futa post yako hatuna jeshi tuna genge la wahuni
  13. REJESHO HURU

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Wenye akili walishaliona hili ila.askari wetu wanaendelea shupaza shingo zao
  14. REJESHO HURU

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Aisee unawaza kutumia nini wewe hivi unaweza kwa matendo yanayoendelea unapata wapi uthubutu wakutetea hawa askari wa majeshi ha nchi ya Tanzania
Back
Top Bottom