Recent content by REJESHO HURU

  1. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Katoro Geita imeitika Wimbo wa Katiba mpya

    Mambo kwa ushahidi leta video
  2. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Hawa kina buyobe ndio wale wale jamii ya usiowadhqni walimuuza hata polepole akawamini wakamchomesha
  3. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu kanogewa kukaa kwangu. Kamaliza chuo 2020 lakini haondoki, nifanyeje?

    Haaa haaa shemeji umetoa wapi bando
  4. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Mnyororo wa Umaskini: Jela ya Kifamilia na Ukoo inavyozima Ndoto nyingi

    Tena familia za kimaskini ambazo wanaishi tu na chanzo cha kipato cha familia hakijulikani kuuacha umaskini huwa kazi sana maana binti akishaota matiti tu ruksa kuwa na bwana na kijana akifikisha miaka 12 tu ruksa kuacga shule kuanza vuta bange wizi so ndio kozazi kinaenda hivyo hivyo ambaye...
  5. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania KERO Uzembe wa kuhamisha mishahara na changamoto ya kupanda daraja

    Jitahidimi kuwa na mahusiano mazuri na viongozi wenu sehemu za kazi msivimbe kisa cheque namba si yangu sijui nini sitahama haya umehama sasa boss wa zamani anakukazia hii mqana yake ulipokuwepo hapo ulikuwa unavimba kwaiyo anamua kukukataa tu kukutesa kisakolojia ila kukusaidia anaweza
  6. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Yani yule mzimbabwe kumkumbatia mama yenu ulikuwa uongo ebu tulia bwana
  7. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Au ndio zile tetesi kuwa motivation speaker wa maparachichi kutoka njombe wanaweza kumpa kiti
  8. REJESHO HURU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Deo Kisandu (Civilian Coin) atangaza kuoa mwanamke bikra

    Bro utakuwa mgeni humu Jamaa msumbufu sana na alishawahi kifungwa uyu katusumbua sana hapa JF JF iinakuwaga na watu wake kina mpwayungu village na hawa kina kisandu sijui wanapoteleaga wapi
  9. REJESHO HURU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pub bila madem wenye vaibu haina ladha?

    Ukiwa na pesa pic kali unaipa direction au inakupa direction nikute sehemu furani au nikukute sehenu furani penye utulivu pasipo na kelele za hizi nyimbo zenu zimekuwa mixed na dj face book kelele mwanzo mwisho ukitoka hapo zile kelele za mziki mixer na pombe asubuhi lazima kichwa kikuume...
  10. REJESHO HURU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pub bila madem wenye vaibu haina ladha?

    Endelea kutafuta pesa mzee tena pambana sana ikiwa unawaza pub yenye madem aises bado endelea tafuta pesa
  11. REJESHO HURU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pub bila madem wenye vaibu haina ladha?

    Endelea kutafuta pesa pambana yani ukijiona bado unaenda bar kutafuta madem pole sana endelea kupambana
  12. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba saba ndani ya eneo moja zinauzwa (mil 59) ukonga Mombasa

    Unahisi mtu anapigwa
  13. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Sugu na Nshala wadhibitiwe kwa kuhamasisha matusi

    NISHAMWAMBIA MAMA KASEMA NA WEWE KAMWAMBIE MAMA YAKO
  14. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Sasa ni zamu ya Dully Sykes baada ya Prof Jay

    U Umesahau kuna Bongo fleva Handsome Aisha mapromise Baby candy
Back
Top Bottom