Sheria za dini ni kwa maskini tu wewe uliona wapi mjane wa kislam aliyeeda anakumbatiwa kwani lini uislam unaruhusu mwanamke kukumbatina na mwanaume asiye mumewe
Sasa kama nchimbi wamemua na wana ccm wakiendelea kucheka si watakuwa machizi siyo ccm tu hata watanzania tutakuwa matahira tuliopitiliza hii itakuwa na maana sasa hii nchi haina haki na hakuna haja yakuwa na vyombo vya dola na hakuna maana yakujiita inchi ya demokarasia kama mtu anachukuliwa na...
Wanakuelewa sasa wana ccm tuzidishe ty maombi wewe ona ikulu imegeuzwa ukumbi wa sinema Rais kafiwa basi kila mtu anaenda kumuona Rais si wangeweka kitabu cha maombolezo ingetosha tu kesho utashanga wale wadada A LIST nao wanaenda mpa pole Rais
Haaa haaa bro anainamisha polepole aliamini anaweza kuhimili vishindo matokeo yake akashindwa wakapita naye mazima na he is no more kwani wakikuchukua wao ni kuuwa tu na wanajiamini kwa kauli za hawajui yupo wapi kwani polepole alingia nchini kwa njia ya magendo alishukia malawi akaingia tz kwa...
Unapagawa kusikia mkuu wa majeshi unazani wana akili sasa hao wangelikuwa na akili wasingekubali maauji ya octoba 29 hao ni vilaza tu ndio maana wamepewa vyeo vikubwa ili watumike wafuate upepo ngoja uone wanavyoenda zalilishwa ndio utajua hii nchi vilaza ndio wenye mamlaka
Maisha yaendeshwa na utamaduni dini ya uislam ni utamaduni wa waarabu uko ambao maeneo yao joto ni kubwa sana kwaiyo kukaa na maiti siku moja au mbili ilikuwa ina haribika kwaiyo kimbilio lao ikawa nikuzika haraka sana mtu akifa ili asiwaharibikie so nasisi tumeiga huo utanaduni pasipo kujua...
Umepiga utosini vijana wa dar es salam wakifika nje baada wafanye kazi wanataka starehe za kishamba bange pombe na uzinzi wansahau umri si rafiki anakuja stuka umri ndio huo kurudi nyumbani aibu hata hao waliorudishwa ni kwa vile tu kuna shida hawakuwa tayali kabisa kurudi nyumbani kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.