Ajaweka it
Ajaweka interpretation zake alichofanya ni kuelezea uhalisia na jinsi kitabu kilivyoandika na ukifutilia ukweli kitabu cha civics form one hicho na kile cha from two vipo deep sana kuelezea kuhusu serikali sasa mtoto anakuwa confosed anachofundishwa na anayoyaona kwenye jamii yake...
Hii issue ndogo sana nikutumia sayansi ya asili mnaita wazee wanakaa mnawauliza je mwamba yupo hai au hayupo hai wakijibu yupo hai basi mnawambia wazee tunaomba waliomchukua wamrudishe fanyeni mnavyoweza yani wazee wajifungie siku saba tu mwamba mnamuona tatizo mnadharau mila na tamaduni
Konki konki dadeki mtapigwa sana miti mwaka huu you better watch your back
Unasema wanampenda hapana wanamuogopa cause anayajua mambo yao mengi hata huu mchongo wa miaka 30 ya bongo fleva wandaji wanajua conki master anajua code so wakimzingua tu anamwaga mboga na ugali ndio maana...
Kiukweli huu uzi miaka mitano nyuma nilipousomaga niliona nadharia nadharia tu ila kwa leo hii jinsi akil mnembe inavyorahisisha mambo kuna mda nawaza hizi elimu zetu za sijui form six, diploma, degree nk kwa dunia ya sasa zina maana kweli au tujikite katika lugha na marifa ya jinsi ya kutumia...
Unataka nirudi nyumbani nikawaue wazee kwa presha waliamini katika elimu wakauza mashamba wakauza mifugo nisome tu sasa nimehitimu elimu ya juu yale mashamba waliotegemea tulime tupate chakula cha kuuza na kutunza mwaka mzima hawana waliuza kwa ajiri yangu ile mifugo ng'ombe na mbuzi na zile...
Unabisha wakati ipo wazi na ndio mnaongoza kukimbilia uko nakuishia kufanya kazi zenye umarufu usio na faida utangazaji, uigizaji, uimbaji, sijuo modering yani tasnia ya burudani mmejaa nyie kisa umarufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.