Recent content by REJESHO HURU

  1. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Kuwa uyaone
  2. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Ajaweka it Ajaweka interpretation zake alichofanya ni kuelezea uhalisia na jinsi kitabu kilivyoandika na ukifutilia ukweli kitabu cha civics form one hicho na kile cha from two vipo deep sana kuelezea kuhusu serikali sasa mtoto anakuwa confosed anachofundishwa na anayoyaona kwenye jamii yake...
  3. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Hii issue ndogo sana nikutumia sayansi ya asili mnaita wazee wanakaa mnawauliza je mwamba yupo hai au hayupo hai wakijibu yupo hai basi mnawambia wazee tunaomba waliomchukua wamrudishe fanyeni mnavyoweza yani wazee wajifungie siku saba tu mwamba mnamuona tatizo mnadharau mila na tamaduni
  4. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Konki konki dadeki mtapigwa sana miti mwaka huu you better watch your back Unasema wanampenda hapana wanamuogopa cause anayajua mambo yao mengi hata huu mchongo wa miaka 30 ya bongo fleva wandaji wanajua conki master anajua code so wakimzingua tu anamwaga mboga na ugali ndio maana...
  5. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Kwaiyo akiwekeza tu kwenye bishara pesa inajizalisha eti hivi kwanini mnaon biashara ni kitu rahisi sana
  6. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

    Kiukweli huu uzi miaka mitano nyuma nilipousomaga niliona nadharia nadharia tu ila kwa leo hii jinsi akil mnembe inavyorahisisha mambo kuna mda nawaza hizi elimu zetu za sijui form six, diploma, degree nk kwa dunia ya sasa zina maana kweli au tujikite katika lugha na marifa ya jinsi ya kutumia...
  7. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Punguza mahaba ongelea uhalisia
  8. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Simba akipona sana leo 5 otherwise 7 mpaka 8 leo si mnawadharau kina magungu ngoja moto uwake hamuwezi kushinda dabi viongozi mnapigishana shoti
  9. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Wamuachie tu chiba arudi mtaani
  10. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kama huu ni mwaka wa 6 wa kujitegemea dsm na bado unalala chumba kimoja na madumu ya maji na mengine hadi ndio umeegeshea sabufa, rudi tu malampaka.

    Komaa cha msingi tusiibe tu vya watu maana tukienda jera wale wazee ndio watakufa ila hizi buku mbili mbili tuwatumie wanabless sana kuziona ipo siku
  11. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kama huu ni mwaka wa 6 wa kujitegemea dsm na bado unalala chumba kimoja na madumu ya maji na mengine hadi ndio umeegeshea sabufa, rudi tu malampaka.

    Unataka nirudi nyumbani nikawaue wazee kwa presha waliamini katika elimu wakauza mashamba wakauza mifugo nisome tu sasa nimehitimu elimu ya juu yale mashamba waliotegemea tulime tupate chakula cha kuuza na kutunza mwaka mzima hawana waliuza kwa ajiri yangu ile mifugo ng'ombe na mbuzi na zile...
  12. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Ebu ficha umbumbu wako naendelea jifunza vitu punguza ujuaji ooh toka nje wewe umeambiwa kahama ni jiji au ujui hadhi ya mji wa kahama nini
  13. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Kwaiyo unataka watu wache kuishi nje ya utaratibu wao wa maisha ya kila siku
  14. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Acha mada za kitoto subilia ukirudi chuo mjadili na wenzako mkiwa group discusion
  15. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Unabisha wakati ipo wazi na ndio mnaongoza kukimbilia uko nakuishia kufanya kazi zenye umarufu usio na faida utangazaji, uigizaji, uimbaji, sijuo modering yani tasnia ya burudani mmejaa nyie kisa umarufu
Back
Top Bottom