Tena familia za kimaskini ambazo wanaishi tu na chanzo cha kipato cha familia hakijulikani kuuacha umaskini huwa kazi sana maana binti akishaota matiti tu ruksa kuwa na bwana na kijana akifikisha miaka 12 tu ruksa kuacga shule kuanza vuta bange wizi so ndio kozazi kinaenda hivyo hivyo
ambaye...
Jitahidimi kuwa na mahusiano mazuri na viongozi wenu sehemu za kazi msivimbe kisa cheque namba si yangu sijui nini sitahama haya umehama sasa boss wa zamani anakukazia hii mqana yake ulipokuwepo hapo ulikuwa unavimba kwaiyo anamua kukukataa tu kukutesa kisakolojia ila kukusaidia anaweza
Bro utakuwa mgeni humu
Jamaa msumbufu sana na alishawahi kifungwa uyu katusumbua sana hapa JF
JF iinakuwaga na watu wake kina mpwayungu village na hawa kina kisandu sijui wanapoteleaga wapi
Ukiwa na pesa pic kali unaipa direction au inakupa direction nikute sehemu furani au nikukute sehenu furani penye utulivu pasipo na kelele za hizi nyimbo zenu zimekuwa mixed na dj face book kelele mwanzo mwisho ukitoka hapo zile kelele za mziki mixer na pombe asubuhi lazima kichwa kikuume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.