Ndio manaa tunataka katiba mpya kwa sababu kuna kundi la watu furani furani wamejiaminisha hii nchi ya Tanganyika ni mali yao wao si mali yetu watanganyika kwaiyo wao wana mammlaka ya kufanya jambo lolote pasipo kufuta sheria na hakuna wakuhoji
Polepole yupo wapi mpaka leo vyombo vya ulinzi na...
Magufuli kuna kitu aliona ambacho hatutaka kutuambia magufuli alina dhamira ya wapinzani mda ule si kutetea maslahi ya watanzania zaidi ya matumbo yao kina mbowe walifanya siasa kama mradi ndio maana akawakazia hatutaka ujinga ujinga kujidhirisha hilo tumeona sasa mbowe yupo wapo na siasa zake...
Kuna pombe zingine mjini na uko vijijini mnalogwa na wenye hizo biashara pasipo wewe kujua ile ni biashara nikupe mfano ujawahi kwenda bar furani ukasema hapa napiga zangu mchesho bia mbili naenda kulala hapa nikitumia sana ni elfu kumi na tano tu na kweli unatumia hivyo hivyo hata kuwe...
Siyo chawa ni snitch anapritend tabia ambazo accepted kwenye jamii wakati yeye si haiba hiyo ndio maana kuna mda anajihau anuonyesha umadelu wake anachafua kabisa hali ya hewa
Brother pascal uzuri umekuwa katika tasnia ya habari kwa muda mredu na umeona tawala zote ukweli usemwe mama kapoteza ushawishi kwenye jamii na kanajisi kiti cha urais pamoj mazuri anayofanya jamii imeondoa omani na yeye mtaani.uki pesa chafu zimejaa vyombo usika wamefumba macho
Kaka ikiwa ni kweli badi
Ikiwa ni kweli basi wao kwa wao wameuzana ili kujihami zaidi utakuta mwamba alianza jiona mungu mtu sasa kwa matukio aliyofanya pengine alianza tishia maboss wakaona uyu hastahili tena kuwepo kama ni kweli
Kina grishoni wanavyopenda post unanzani wangekaa kimya kuhusu mafwele ungesikia habari hizi ni FAKE kwakua wapo kimya mpaka sasa hii habari ya mtejaji kutekwa ipe asilimia 50 maana pengine wao wenyewe wameamua mgeuka kuona uyu kimeo tukienda mahakama za kimataifa atatuchomesha so wanamua mtoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.