Recent content by Reggie Swahili

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kazi zangu za sanaa! Kutoka sketching mpaka acrylic painting. Ungana na mm hapa hapa jukwaan

    Hii ina ukubwa gani na unauzaje?
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini wachagga (kabila la mpakani) hawapo Tanzania na Kenya??

    Wadigo wapo Kenya pia Kaunti ya Mombasa
  3. R

    JamiiForums Tanzania Hebu Tujadili Hii Comment Niliikuta Quora Kuhusu HIV Cure.

    Mkuu umefanya direct translation ime kumiss lead three shots sio risasi tatu ni sindano tatu 😂 😆 na vidonge vitatu Kwa siku
  4. R

    JamiiForums Tanzania Jamii ya wapemba yatambulika rasmi nchini Kenya kama Raia

    Kenya wamewatambua mpaka Wamakonde
  5. R

    JamiiForums Tanzania Matukio ya Ushoga duniani

    Napata ukakasi Sana unaponiambia Canada ina mashoga 30 Million sijui data zako umezitoa wapi.Huu ni upotoshaji WA wazi wazi
  6. R

    JamiiForums Tanzania Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

    AN Sumbawanga to Dom Nilipanda Hilo basi kutoka Mpanda to Tabora.Ni kama daladala lilijaza kupita kiasi watu waliosimama ni kama ishirini hivi.Kufika mzani baadae ya Inyonga uzito ulizidi nacwalikua na fine before tukakaa saa moja na nusu ndio tukaruhusiwa.Lile basi dereva na konda wake mdada...
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia

    Nilijua hili litakuja kutoa.Kwa wasiomjua Ruto ni kiongozi katili mwenye misimamo.Bila Ruto second term Kenyatta asingekua raising ni Ruto aliyemshauri Kenyatta kukaza mpaka uchaguzi uliporudiwa.Ruto asiposhauriwa na kusikiliza ushauri watu wengi watauawa Kenya na itamtia doa na kuwa downfall...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu, nina mpango wa kununua nazi kutoka Lindi au Mtwara kwa bei ya jumla na kuuza Dar

    Biashara nzuri angalizo NUNUA NAZI ZILIZOKOMAA kama hujawahikufanya tafuta mzoefu mlipe akuchagulie lasivyo utauziwa madafu na pesa yako itapotea.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Ofisa ubalozini US ashitakiwa kwa kunyanyasa mtumishi

    Zipora alilipwa usd 170,000 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/slavery-suit-settled-ahead-of-obama-visit-2492742
  10. R

    JamiiForums Tanzania Je, unakijua Kinyarwanda njoo tufanyekazi?

    Ni wivu au roho mbaya?pole sana ndugu jelous people never win.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Je, unakijua Kinyarwanda njoo tufanyekazi?

    Habari wandugu, Kama unakijua Kinyarwanda au unamjua mtu anayekijua Kinyarwanda kuna kazi ya transcription (kuandika kile unachokisikia). Ni kazi ambayo itadumu kwa muda wa miezi 3. Malipo ni dolla 0.75 kwa dakika ambayo ni sawa na usd 45 kwa saa. Kutakua na trainining bure kabisa kabla kazi...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Azam telecom ni fire 🔥 tigo byee byee

    Hamna kitu kama hicho!
  13. R

    JamiiForums Tanzania Japo Chanjo ni hiyari, ila ni muhimu. Hupandi Ndege bila cheti cha Kupima COVID19. Kama unasafirisafiri, Chanjo ni Muhimu

    Mkuu Pascal hilo haliepukiki na hao jamaa ni wazembe kwa kutumia tu common sense ni nchi chache sana zitakupokea itakua kama chanjo ya manjano huna baadhi ya nchi huingii.
Back
Top Bottom