Mkuu amani iwe nawe,sipendi kusoma ila imenivutia na sijachoka kuisoma,ikiwezekana wakati mwingine na mimi unitag unapotupia vitu vya maana kama hivi mkuu.
Katika ngazi za uongozi, madaraka(cheo) ni ngazi ya chini sana kwakua mtu unaweza kuwa kiongozi bila madaraka. Lakini huwa ndio ngazi ya kuanzia kwa viongozi wengi.
Madaraka ni nafasi tu ya ki-uteuzi ambayo mtu yeyote huweza kupatiwa na mtu mwenye mamlaka hayo. Lakini uongozi ni kipaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.