Kwani lazima ateuliwe kuwa mtu flani,mbona kibao tu waliotumbuliwa hawajapangiwa vyeo vingine ??? Mbona kibao tu ambao hatuna ajira na tuna vyeo vya master??
Vitu vyote vinawezekana either Barbara mbovu coz ya mvua au uzembe Wa Dereva au pia ushirikina msijifanye hamjui ushirikina ukute mnaobisha ndo wachawi kwanza kama mungu mwenyewe alimuumba shetani kwa nini ushirikina usiwepo msijione mna kijielimu cha chuo ndo mjifanye hamjui ushirikina nyie ndo...
Mi nasoma UDSM ,kiujumla bongo ni elimu ya makaratasi tu no research no reality yani full theory na slides ndo maana products haziwezi kufanya chochote mtaani pia serikali haitoi kipaumbele kugharamikia research hata ukiwa mzuri no money no research viongozi wenyewe ndo vile ubashite mwingi...
Hii nchi inaonekana kuna watu wako above the law ,wakat wanyonge kama sisi tunafanyiwa uhakiki Mara mbili tatu aisee inauma sana hii nchi is totaly unfair no equality
Nenda kwa dean yeye ndio atakupa muongozo wote ,ila kiufupi utaandika barua ya kawaida tu yenye sababu za msingi za kumfanya ahairishe Mwaka na uthibitisho kamili ila ni vizuri ukaiandika hapo hapo chuoni ukiwa na dean kuliko kuituma kwa e-mail
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.