Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Bunge linaweza kumwondoa madarakani Rais

Kuna vitu uumepotosha nadhani kwa makusudi. Bunge likishapitisha hiyo hoja, rais hajiuzuru bali anavunja bunge na kuandaa uchaguzi mkuu chini ya usimamizi wa tume ya uchaguzi. Hajiuzuru bali bunge ndilo huvunjwa, yaani hali inakuwa kama inavyokuwa miezi 3 kabla ya uchaguzi mkuu wa kawaida unaotokana na kipindi cha miaka 5 kufikia tamati. Baada ya bunge kuvunjwa kampeni zitafanyika. Wananchi ndiyo watatoa uamuzi kupitia kura zao. Kwa kawaida wabunge wengi hawatashinda kurejea mjengoni na kwa kawaida rais hushinda huo uchaguzi mkuu wa aina hiyo. Rais akishindwa huo uchaguzi mkuu basi atakabidhi madaraka kwa yule aliyeshinda kama inavyofanyika baada ya uchaguzi mkuu wa kawaida, na yeye atapata heshima na haki zote za kuwa rais mstaafu.
Hapana, hizo zote kawaida siyo msahafu.
 
Apa labda tutegemee ilo bunge ila nalo sio la kutemea saaana maana uko kuna wanazi wa chi chi mu asikwambie mtu so kumuondoa nadhani nii ngumu

Ila time will tell
Ila hata asipoondoka, kama wangejitahidi hata kufikia hatua ya kuunda kamati ya kumchunguza huku yuko bench kwa miezi mitatu, nina hakika akili zingemsogea...
 
Interesting ...
Kwa hiyo mnataka Lowasa akapime afya ya mwili na akili pia...
Kwa Lowasa tutaomba aongee dk 15 tu mfululizo.
 
Hizi ni ndoto za mchana, mawaziri wa CCM, bunge lipo chini ya CCM unataka wamtoe mwenyekiti wa CCM pia. Nyie watu mnaendeshwa na hisia na si bongo zenu.
 
Nataka kujua utaratibu unaotumika kutambua kuwa Rais ana maradhi ya akili. Na nani anadhibitisha hili kuwa kweli rais ana maradhi hayo?
----
Ni kweli kuna haja ya kufahamu maana halisi ya maneno yaliyomo kwenye katiba. Ila tusifanye hivyo kwa hila.
 
Nataka kujua utaratibu unaotumika kutambua kuwa Rais ana maradhi ya akili. Na nani anadhibitisha hili kuwa kweli rais ana maradhi hayo?
----
Ni kweli kuna haja ya kufahamu maana halisi ya maneno yaliyomo kwenye katiba. Ila tusifanye hivyo kwa hila.
Mbona huo utaratibu tayari umewekwa wazi kwenye Katiba? Kwanza matendo tu na kauli anazozitoa zinaonesha anayo matatizo makubwa ambayo mtu asiye na maradhi kama hayo katu hawezi kuzitoa. Muangalie hata uso wakati anaongea, je ni picha gani unatoka nayo?
 
1. Baraza la Mawaziri.

Katiba No. 37


(2) Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais, kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili hawezi kumudu kazi zake. Baada ya kupokea azimio kama hilo, Jaji Mkuu atateua bodi ya utabibu ya watu wasiopungua watatu atakaowateua kutoka miongoni mwa mabingwa wanaotambuliwa na sheria ya matababu ya Tanzania, na bodi hiyo itachunguza suala hilo na kumshauri Jaji Mkuu ipasavyo, naye aweza, baada ya kutafakari ushahidi wa kitabibu kuwasilisha kwa Spika hati ya kuthibitisha kwamba Rais kutokana na maradhi ya mwili au ya akili, hamudu kazi zake; na iwapo Jaji Mkuu hatabatilisha tamko hilo ndani ya siku saba kutokana na Rais kupata nafuu na kurejea kazini, basi itahesabiwa kwamba kiti cha Rais ki wazi, na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (3) yatatumika.

2. Bunge...itaendelea
Mkuu Mag 3. Asante kwa bandiko hili, kwa ruhusa yako naomba kulitumia ku enrich bandiko langu fulani.

Paskali
 
Mbona huo utaratibu tayari umewekwa wazi kwenye Katiba? Kwanza matendo tu na kauli anazozitoa zinaonesha anayo matatizo makubwa ambayo mtu asiye na maradhi kama hayo katu hawezi kuzitoa. Muangalie hata uso wakati anaongea, je ni picha gani unatoka nayo?
Nimeona
----
Katiba No. 37

(2) Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais, kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili hawezi kumudu kazi zake. Baada ya kupokea azimio kama hilo, Jaji Mkuu atateua bodi ya utabibu ya watu wasiopungua watatu atakaowateua kutoka miongoni mwa mabingwa wanaotambuliwa na sheria ya matababu ya Tanzania, na bodi hiyo itachunguza suala hilo na kumshauri Jaji Mkuu ipasavyo, naye aweza, baada ya kutafakari ushahidi wa kitabibu kuwasilisha kwa Spika hati ya kuthibitisha kwamba Rais kutokana na maradhi ya mwili au ya akili, hamudu kazi zake; na iwapo Jaji Mkuu hatabatilisha tamko hilo ndani ya siku saba kutokana na Rais kupata nafuu na kurejea kazini, basi itahesabiwa kwamba kiti cha Rais ki wazi, na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (3) yatatumika.
===============
Utaratibu huu unamapungufu makubwa.
 
1. Baraza la Mawaziri.

Katiba No. 37


(2) Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais, kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili hawezi kumudu kazi zake. Baada ya kupokea azimio kama hilo, Jaji Mkuu atateua bodi ya utabibu ya watu wasiopungua watatu atakaowateua kutoka miongoni mwa mabingwa wanaotambuliwa na sheria ya matababu ya Tanzania, na bodi hiyo itachunguza suala hilo na kumshauri Jaji Mkuu ipasavyo, naye aweza, baada ya kutafakari ushahidi wa kitabibu kuwasilisha kwa Spika hati ya kuthibitisha kwamba Rais kutokana na maradhi ya mwili au ya akili, hamudu kazi zake; na iwapo Jaji Mkuu hatabatilisha tamko hilo ndani ya siku saba kutokana na Rais kupata nafuu na kurejea kazini, basi itahesabiwa kwamba kiti cha Rais ki wazi, na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (3) yatatumika.

2. Bunge...itaendelea
presupposition ni kwamba he either has body or mental disorder...hahaha.post zingine bana
Mkuu Mag 3. Asante kwa bandiko hili, kwa ruhusa yako naomba kulitumia ku enrich bandiko langu fulani.

Paskali
 
Kuna vitu uumepotosha nadhani kwa makusudi. Bunge likishapitisha hiyo hoja, rais hajiuzuru bali anavunja bunge na kuandaa uchaguzi mkuu chini ya usimamizi wa tume ya uchaguzi. Hajiuzuru bali bunge ndilo huvunjwa, yaani hali inakuwa kama inavyokuwa miezi 3 kabla ya uchaguzi mkuu wa kawaida unaotokana na kipindi cha miaka 5 kufikia tamati. Baada ya bunge kuvunjwa kampeni zitafanyika. Wananchi ndiyo watatoa uamuzi kupitia kura zao. Kwa kawaida wabunge wengi hawatashinda kurejea mjengoni na kwa kawaida rais hushinda huo uchaguzi mkuu wa aina hiyo. Rais akishindwa huo uchaguzi mkuu basi atakabidhi madaraka kwa yule aliyeshinda kama inavyofanyika baada ya uchaguzi mkuu wa kawaida, na yeye atapata heshima na haki zote za kuwa rais mstaafu.
Da!we kweli kihiyo wa sheria but bora ukae kimya mkuu maana hujui lolote kuhusu kifungu hicho
 
Kwa katiba hii iliyopo. Sahau .
Hata mie hunitoi, patachimbika.
Nimeongelea njia halali zilizopo ndani ya Katiba...pakichimbika ziko njia zingine ambazo hazimo ndani ya Katiba! Mhusika atashauriwa asitufikishe huko kwa sababu inaweza kula kwake.
 
Inaweza kuwa anatumia yale mambo yetu ya 'stimu'! Pengine Commissioner Sianga angeanzia "pale pale" ili Taifa lipone.
 
Hakuna mbunge wa chama chake atakaye thubutu kufanya uamuzi huo, wafanye ivyo kwa mazuri gani waliyo Fanya?.
 
Back
Top Bottom