Halafu mbona we mjeshi umekomaa na sugu wivu ni mbaya,mbona mzee mkapa an asili ya msumbiji lakin aliongoza nchi vizur zaid ya handsome kikwete,obama hapend ubaguzi.
Jamani Binadamu tunatofautia hawa jamaa wa Igunga wanakosea sana Igunga naifahamu vizur ebu watueleze kuna maendeleo gan,kama umeme ni haki yao ata asingekua Rostam ungepatikana,kama mgao Igunga ndo umezidi,Igunga inahitaji maombi ili ilo pepo la ombaomba litoke.
Very good mkwawa,Gadaf muda alio kaa lazima wamchoke haijalish alifanya mangap kwa wananch wake manake sie kikwete miaka sita lakin tunataman angelitoka hata leo tu,yaani viongozi wa Africa wanashangaza angalia kikwete anasababisha tuichukie nchi yetu kwasababu ya umeme,na siku tukiandamana...
Mi nimekupata vizuri Sugu ingawa wengine hawataki kukusoma,lakin kazi hunayo manake wasanii wetu mara rahisi wamasharobaro,rahisi wawasafi,nk.Mpaka wakuunge mkono wanahitaji elimu yakutosha ili wazitambue haki zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.