Recent content by recho Jr

  1. recho Jr

    Naombeni ushauri nisome kozi ipi nzuri kwa ufaulu huu

    Mi meezio lisoma cbg matokeo yangu hayana tofauti na yako mm mwenzio nimekua mwalimu (elimu mjumuisho) [emoji23] shahara hautoshi nishaanza mipango ya kuanzisha kashule kangu [emoji23][emoji23]
  2. recho Jr

    Tusinunue vitu Used jamani

    Used ni rahisi sana
  3. recho Jr

    Nimeibiwa Ng'ombe 10 Kisiju

    Njoo Zanzibar tueapige halal badri
  4. recho Jr

    Nimemchoka mke wangu natafuta jinsi ya kumpiga chini

    Ukishaachana nae njoo kwangu mtoto wa kimakunduchi mie
  5. recho Jr

    Nimemfukuza kazi shabiki wa Yanga

    Ujinga mtupu
  6. recho Jr

    Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

    Wee acha tu mshahara wangu wote umeisha nimebaki na buku 5tu na madeni Bado hayajaisha ila Bado najivunia kua dada kwenye familia
  7. recho Jr

    SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

    Siwezi tesa mtoto wa mtu unachomfanyia mwenzio na ww utafanyiwa[emoji114]
  8. recho Jr

    Natafuta kazi, nina ujuzi wa kusimamia biashara kwa miaka 5

    Mimi natafuta msimamizi wa ndoa aje asimamie ndoa yangu
Back
Top Bottom