Je, Ethiopia inataka kumega eneo la nchi gani?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,088
2,705
Kauli ya kutaka kupata bandari Ethiopia limekua likirudiwa rudiwa na PM wa Ethiopia Abi Ahmed na inaonekana yupo determined kuchukua Eneo moja wapo kati ya nchi zinazopakana na bahari kama Somalia, Eritrea, Djibouti.

Je, nini kinaendelea? Eneo gani lipo katika target, anataka aanzishe vita nyingine au anataka kuannex eneo la jiran? au anunue

NB: What do you think?

IMG_0284.jpg
 
Sisi tulipewe lugha nyingi za kikabila kwa ,wenzetu, wazungu, waarabu na middle east wote walipewa lugha chache ila wakapewa ufahamu wa maandishi ya hefufi zao ndio maana hata kwenye ufahamu na ujuzi wametuzidi. Sisi tumebaki maneno meengi ila ukipewa kalamu ugonjwa unaanza hapo hapo
kalamu nimependa hapo
 
Ethiopia hii nchi bahna ina misimamo yake kwakweli haifanani na nchi nyingine kabisa. kuna mradi tuliufanya huko Duh! wakisema no ni no kweli jamaa hao wana mambo kwakweli.
 
Kauli ya kutaka kupata bandari Ethiopia limekua likirudiwa rudiwa na PM wa Ethiopia Abi Ahmed na inaonekana yupo determined kuchukua Eneo moja wapo kati ya nchi zinazopakana na bahari kama Somalia, Eritrea, Djibouti.

Je, nini kinaendelea? Eneo gani lipo katika target, anataka aanzishe vita nyingine au anataka kuannex eneo la jiran? au anunue

NB: What do you think?

View attachment 2785223
elitrea. lilikuwa jimbo lake tangu awali.
 
Unauhakika unachokisema,,, somalia is failed state
wangeliweza kama kungekuwa na seasable pupulation ya watu wenye asili ya ethiopia wanaoishi somalia, waanze kama kikundi cha uasi wajitenge au waunde kataifa kao kapya halafu baada ya hapo wajiunge na mainland ethiopia. ndicho kagame anachotafuta eastern congo. ila kwa kuvamia na kukata ardhi, sheria za kimataifa zinakataza. lazima uende kwa namna PUtin alivyofanya crimea na maeneo mengine juzi. watu wa eneo lile wenyewe waamue tena kwa kura kujiunga na ethiopia na sio kuvamia na kukata kipande cha ardhi.
 
Back
Top Bottom