Recent content by Rebelpirate

  1. Rebelpirate

    Je, ni nini tofauti kati ya SMG na AK-47?

    Pia AK47 ni moja ya silaha iliyogunduliwa na Mrusi na ambayo inaongoza kwa kuua idadi kubwa sana ya watu, tofauti na nyingine zote.
  2. Rebelpirate

    Je, ni nini tofauti kati ya SMG na AK-47?

    Hamna ni mtoto mwingine wa Mzee Albert Bashite (Kolomigean)
  3. Rebelpirate

    Msaada wa kumroga aliye Senegal, amenitapeli TZS 5 Millioni

    Duh! Kweli wewe msomi Kilumbia kabisa. So Bashitic, and a Kolomigean indigenous. Kwanza uliombwa urafiki, ukashawishiwa na picha ukakubali. Pili, ukaambiwa ukilipa mahari ya 5m, utarejeshewa 150m, ukilaza usiokuwepo kwa mwanaume, asiye Bashite. Tatu ukatambulishwa kwa mlezi/ba mkwe anaelea...
  4. Rebelpirate

    Hukumu zinazoshindwa zitalipasua taifa

    Kweli we ni Kilumbia original, so unaufurahia na kupreiz madudu yanayofanyika ktk mahakama zetu, kwa kuwa mahakama ya rufaa ipo? Mahkma ya rufaa huona itakuwa na madudu mengi yasioendana na muda wake? Raia wangap wanateseka kutokana na kutumikia kifungo cha shinikizo la serikali? Acha ukilaza ww.
  5. Rebelpirate

    Hukumu zinazoshindwa zitalipasua taifa

    Tatizo sio kulaumiana ni mahakama kuingiliwa na serikali. Mf. hukumu ya mb wa Kilombero na ya Lema hazikuwa za mahakama, bali za serikali.
  6. Rebelpirate

    TBC wasusia habari ya kamati ya waziri Nape na TEF

    Kweli kiongozi, Mimi nimeifuta hiyo Chanel kabisa kw vile haina hata mvuto.
  7. Rebelpirate

    Peter Msigwa: Rais anatakiwa kuwajibishwa na wananchi kwa hili la RC wa DSM

    Truism sana kamanda, kitaeleweka tu.
  8. Rebelpirate

    Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

    Duh! Aliyeweka kanuni, asita na umadhubuti wa kanuni. Hamna namna namshauri jamaa achomoe achape, mana uvumilivu umesepa.
  9. Rebelpirate

    Njia nyembamba (Simulizi mpya by SteveMollel)

    Hn. Steve umenifanya nainze kuvutiwa tena kuwa karibu na phone yangu, pa1 xna ktk tag man, tunaisubiri.
  10. Rebelpirate

    Ikiwa ni kweli mkuu wa mkoa wa Dar ameidharau tume ya Nape sasa atakuwa kafika mbali!

    Ikiwa kaagizwa na bosi wake, basi hawezi kukutana na tume kuhojiwa, na hii itamwezesha Nape kutokuwajibika ka alivyodai.
  11. Rebelpirate

    Jukwaa la Wahariri wampiga BAN Mkuu wa Mkoa wa Dar kwenye Media zote nchini

    Maamuzi yenu yakitekelezeka basi tasnia yenu itaanza kuthaminiwa walao kidogo
  12. Rebelpirate

    CHADEMA, propaganda dhidi ya Makonda hazimsafishi Mbowe kadhia ya mihadarati

    Issue ni, je Bashite D. alisoma na akafaulu? Je kama alifaulu kwa nini alitumia cheti cha Pale Makondakta? Je vyeti vipo au aliwashia moto? Ha ha ha ya Bwna yule na Makondakta!
Back
Top Bottom