Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Mkataba uheshimiwe,haraka za nini,si ulitingisha kiberiti?kimejaa.Usifikiri mwanamme kulala kitanda kimoja na wewe ndo ticket ya kumpata kingono.Hata wao ni wagumu,labda umkute ni fuska
 
Kama chakula kinaanzwa kuhonjwa kwanini nyie msihonjwe urojo wenu
 
Mimi najua inawezekana.. na nina uhakika kabisa kuwa inawezekana, kila kitu kinaanzia akilini mwako
Duh, kwenu nyie wenye matatizo. Hiyo kitu ni ngumu sana. Hata vitabu vitakatifu vimeeleza hii vizuri. Biblia inasema ikimbie zinaa. Kwa sabb huwezi kuomba maombi et mwili usisisimke, mwili kusisimka ni zawadi tuliyopewa na mwenyezi mungu. Hata padri au askofu au nabii akikaa karibu na mwanamke mzuri lazima mwili umsisimke na atazini nae tu.

Watumishi wa mungu wengi wameangushwa kwa utaratibu huu.. Wanadhan ukiwa mtumishi unaweza kuzuia mwili usisisimke, wanashindwa na hatimae wanazini.

Mfalme Daud alishindwa akazin, wote akina suleiman, walishindwa kujizuia. Ni ngumu. Hata Clinton pamoja na Urais wake alishindwa. Alipoiona tu kwa yule demu, mwili ulimsisimka.

Mkuu hata Yesu aliwashangaza wanafunzi wake, walipomkuta akiongea na mwanamke. Kwa sabb walijua kuwa ni vigumu sana kujizuia ukiwa na mwanamke peke yenu chumban tena mwanamke alie willing kulala nae.

Labda kwa kizazi hiki chenye matatizo mengi ya upungufu wa nguvu za kiume.

Nakuhakikishia haiwezekani
 
Duh, kwenu nyie wenye matatizo. Hiyo kitu ni ngumu sana. Hata vitabu vitakatifu vimeeleza hii vizuri. Biblia inasema ikimbie zinaa. Kwa sabb huwezi kuomba maombi et mwili usisisimke, mwili kusisimka ni zawadi tuliyopewa na mwenyezi mungu. Hata padri au askofu au nabii akikaa karibu na mwanamke mzuri lazima mwili umsisimke na atazini nae tu.

Watumishi wa mungu wengi wameangushwa kwa utaratibu huu.. Wanadhan ukiwa mtumishi unaweza kuzuia mwili usisisimke, wanashindwa na hatimae wanazini.

Mfalme Daud alishindwa akazin, wote akina suleiman, walishindwa kujizuia. Ni ngumu. Hata Clinton pamoja na Urais wake alishindwa. Alipoiona tu kwa yule demu, mwili ulimsisimka.

Mkuu hata Yesu aliwashangaza wanafunzi wake, walipomkuta akiongea na mwanamke. Kwa sabb walijua kuwa ni vigumu sana kujizuia ukiwa na mwanamke peke yenu chumban tena mwanamke alie willing kulala nae.

Labda kwa kizazi hiki chenye matatizo mengi ya upungufu wa nguvu za kiume.

Nakuhakikishia haiwezekani
kama huwezi ni wewe mimi nilishawai kulala na jamaa mara kibao bila sex na tukaja kusex badae alikuwa fresh tu
 
Duh, kwenu nyie wenye matatizo. Hiyo kitu ni ngumu sana. Hata vitabu vitakatifu vimeeleza hii vizuri. Biblia inasema ikimbie zinaa. Kwa sabb huwezi kuomba maombi et mwili usisisimke, mwili kusisimka ni zawadi tuliyopewa na mwenyezi mungu. Hata padri au askofu au nabii akikaa karibu na mwanamke mzuri lazima mwili umsisimke na atazini nae tu.

Watumishi wa mungu wengi wameangushwa kwa utaratibu huu.. Wanadhan ukiwa mtumishi unaweza kuzuia mwili usisisimke, wanashindwa na hatimae wanazini.

Mfalme Daud alishindwa akazin, wote akina suleiman, walishindwa kujizuia. Ni ngumu. Hata Clinton pamoja na Urais wake alishindwa. Alipoiona tu kwa yule demu, mwili ulimsisimka.

Mkuu hata Yesu aliwashangaza wanafunzi wake, walipomkuta akiongea na mwanamke. Kwa sabb walijua kuwa ni vigumu sana kujizuia ukiwa na mwanamke peke yenu chumban tena mwanamke alie willing kulala nae.

Labda kwa kizazi hiki chenye matatizo mengi ya upungufu wa nguvu za kiume.

Nakuhakikishia haiwezekani
umeendekeza tamaa mbele, sikushangai... usitumie mifano ya mfalme Daudi na mwanae kuhalalisha tamaa zako, huku ni kupotosha.. wapo mitume na manabii wengi tu walioweza lkn hampendi kuwatolea mifano..
Kutokufanya kwa kujiheshimu haiondoi urijali wa mtu
 
Wewe na huyo member wako mnatusumbua bureeeee!!!! Yani mtu aliomba mwenyewe asigegedwe mpaka ndoa, leo tena anaanza nyoko nyoko za nini!!? Akae tu avumilie, wengne ni mabingwa wa kufollow instructions!!!!
 
Duh! Aliyeweka kanuni, asita na umadhubuti wa kanuni. Hamna namna namshauri jamaa achomoe achape, mana uvumilivu umesepa.
 
kama huwezi ni wewe mimi nilishawai kulala na jamaa mara kibao bila sex na tukaja kusex badae alikuwa fresh tu
Watu wenye upungufu wa nguvu za kiume ndo wenye kuweza hivo. Wengine mpaka siku hiyo aji boost kwanza. Kama hakujiboost hawezi na mnalala kama kaka yako.
 
kama wakati wamelala wote haikudinda .. sababu wanaume wanadinda usiku na asubuhi lazime kiwe mnara kama yupo lijali kweli.. sasa mwenzangu mmelala hata kudinda kwa asubuhi hakupo teh hata me ningetaka kujaribu kukutana na kidudu kimelegea mpaka ukisokomeze na kidole na hana mikiki sababu akijivuta tu au ukapiga chafya kimechomoka ote mae ajaribu tu
Atadindisha siku ya ndoa baada ya kutoka ukumbini kwenda honey moon! Vitu vingine havihitaji ujuaji...
 
Aiseee shake well before use. Ata kama ni dhambi ya nini mbuzi kwenye gunia
 
Salam aleikum wadau,

Mimi kama Mwenyekiti wa wanawake tulioamua kustaafu kusex bila ndoa nimepata malalamiko toka kwa mwanachama wangu mnajua bana sisi wanawake mtuelewe tu sometimes tupo off saa zingine on kapata mchumba sharti la kwanza mwenyewe mdada akamwambia jamaa no sex till marriage jamaa akamwambia poa hata mimi nataka mwanamke kama wewe.

Imefika katikati mdada anataka kujaribu amemtega jamaa wewe hadi amelala kwake ila jamaa hapigi gemu kabisa na sasa anaprocess ndoa. Sasa huyu member mwenzetu anadai ana hofu anataka gemu kwanza mimi hata simuelewi jamani anaomba ushauri maana nimempa ID yangu hapa anasoma.

Matusi muache jamani, shaurini kiungwana mambo ya mahusiano ni magumu jamani.
Hahahaha Huyo Dada nae hana msimamo

hebu tuambie alijaribu kumfanyia chochote jamaa akabaki mkavu au hakujaribu?
maana huwezi ukawa na waswas na mtu wakati wewe ndo una tatizo
 
Labda ukiniona tu, unioe mara moja.
Wala sio hivyo,,,,,nilidate for 1 year,,,bila kudu,,,,mwishoe akaolewa na mwingine,,, hii tabia ya kuchovya,,,ni ya kishetani na imekosea heshima ndoa nyingi na kuleta maumivu kwa wengi,,,,,poleni mliodanganywa kwa jina la ndoa kumbe jamaa alitaka tu kuchovya,,,,
 
kama wakati wamelala wote haikudinda .. sababu wanaume wanadinda usiku na asubuhi lazime kiwe mnara kama yupo lijali kweli.. sasa mwenzangu mmelala hata kudinda kwa asubuhi hakupo teh hata me ningetaka kujaribu kukutana na kidudu kimelegea mpaka ukisokomeze na kidole na hana mikiki sababu akijivuta tu au ukapiga chafya kimechomoka ote mae ajaribu tu
hahahaa itakuwa jamaa mind yake psychologically hakuiandaa kuwa hyo siku ata do something so thats why kitu kikarest bila kushtka but kwa harakaharaka tu jamaa atakuwa na shida kidgo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom