SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,432
- 23,754
- Thread starter
- #21
Usijali mwana kolomije.Nitag na mie niwe naipata mubashara kbs hapa kolomije
☆Steve
Usijali mwana kolomije.Nitag na mie niwe naipata mubashara kbs hapa kolomije
Ushaingia kwenye list mkuu.Mkuu usinisahau na mie kwenye kunitag ili nipate mema ya nchi ya liberia
Pole sana mkuu. Tuvumilie tu. Tumeshaambiwa hata tugaregare raisi ni yeye tu!..tupe kitu MKUU angalau TU-REFRESH..ni shida kweli kuongozwa "KI-DEPROTATER"..
Heri nchi tungejua tuna MFALME...!
Hahaha ahsante sana mkuu. Ratiba inabana ndiyo maana. Tuvumiliane tu.Steve, ngoja nvute tuu ka mkeka maanake stori zako mtu akiwa juu ya sturi anaweza anguka
Tatizo ka ratiba hako baba ni ahdaaaa
Naamini sitoshindwa kulikalia jamvi ili kupata kipendacho moyo. Nitakaa tuu maana hakuna namnaHahaha ahsante sana mkuu. Ratiba inabana ndiyo maana. Tuvumiliane tu.
☆Steve
Unakaribishwa kwa mikono miwili mkuu.Aisee na Mimi isinisahau ni mgeni hapa.
Usijali mkuu. Tupo pamoja sana.Naamini sitoshindwa kulikalia jamvi ili kupata kipendacho moyo. Nitakaa tuu maana hakuna namna
Uwe unaweka za kutosha mkuuuu, usituumize mioyo kwa muda wa wiki mzima,Siku za kurushwa simulizi zitakuwa Alhamis na Jumamosi!
☆Steve
hahahhh nakukumbusha wapi huko tivuUnavyooniita hivyo shunnie wanikumbusha mbali.
☆Steve
utuweke bas ata episode 4 au 5Siku za kurushwa simulizi zitakuwa Alhamis na Jumamosi!
☆Steve
Hahhaha! Hilo jina la tivu lina historia ndefu. Linansisimua!hahahhh nakukumbusha wapi huko tivu
Mbona wanfanyia mimi hivyo? Wengine wanatuma hizo kweli?utuweke bas ata episode 4 au 5
hahahhah bas kama lina historia ndefu na kusisimua ndio utushushie maepisode ya kumwagaHahhaha! Hilo jina la tivu lina historia ndefu. Linansisimua!
☆Steve
achana na wengine apa tunamzungumzia tivu masai boyMbona wanfanyia mimi hivyo? Wengine wanatuma hizo kweli?
☆Steve
Nilijua tu. Hapo ndipo wataka ww.hahahhah bas kama lina historia ndefu na kusisimua ndio utushushie maepisode ya kumwaga
Oooh tivu unamuonea eeenh.achana na wengine apa tunamzungumzia tivu masai boy