Nauza nyumba Dodoma nkuhungu north,
Ina master moja ,vyumba viwili vya wageni,jiko, choose cha public, stoo, choo cha nje na jiko la nje. Ipo karibu na barabara itayojengwa ya kupitisha magari ya mizigo.ila mazungumzo yapo .namba ya simu 0714791775.
Fountain gate Dodoma kuna kama academy wameanzisha kwa wale wanao cheza mpira au wana taka kuendelezwa kwa mpira wanalipia kwa miezi mitatu 200000 na kitu ila kama kwa masomo ya mpira ila kwa masomo mengine kuna kiasi pia itabidi alipie wana jitahidi kidogo
Sent from my TECNO P701 using...
Sidhani kama pep si kocha mzuri kama unavyo dai ila una haki ya kuwa na mtazamo wako.ila kwa mtazamo wangu pep ni kocha moja ya makocha bora ulaya ila muda mwingine kuna pokuwa na mabadiliko kwenye timu lazima kuna wachezaji wataachwa tu mfano ile timu ya kina ronaldhino,etoo na Santos wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.