Recent content by Raymanu KE

  1. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ajabu yanayofanywa na ubongo wako pamoja na matukio yasiyoelezeka duniani

    Ahsante Sana mkuu kwa elimu yako nzuri. Hakika nimejifunza kitu
  2. Raymanu KE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ukichepuka, mke au mpenzi akijua unajiweka hatarini

    Kila la heri zenu mkuu
  3. Raymanu KE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ukichepuka, mke au mpenzi akijua unajiweka hatarini

    Mkuu ulikuwa umefuga shetani ndani
  4. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ajabu yanayofanywa na ubongo wako pamoja na matukio yasiyoelezeka duniani

    Mkuu Mshana Jr Fanya kujazia nyama kidogo kwenye dhana ya Placebo & Nocebo effects
  5. Raymanu KE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ukichepuka, mke au mpenzi akijua unajiweka hatarini

    Haikuagi rahisi hivo mkuu. Sisi wanaume tuna tatizo la kukinai vitu. Unaeza kuta mwanaume ana mke mrembo Sana nyumbani ila anachepuka na vitu vya ajabu ajabu huko nje. Sisi wanaume hata tungekuwa na uwezo wa kujiumbia wanawake tunaowataka baada ya Muda fulani tutawachoka tu na kwenda kutafuta...
  6. Raymanu KE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ukichepuka, mke au mpenzi akijua unajiweka hatarini

    Vice versa. Mwanamke ndo hujiweka hatarini zaidi anapochepuka. Kwa sababu akigundulika ndoa chali na mwanaume anavuta chuma kingine.
  7. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ajabu yanayofanywa na ubongo wako pamoja na matukio yasiyoelezeka duniani

    Hakika Mungu ni fundi. Mwamba hiyo formula ya kutuumba sijui aliitoa wapi
  8. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Studio ya Msanii Barnaba yawaka moto Mwananyamala, hakuna kilichopona

    Pole yake jamani
  9. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Maisha 2070: Una nini cha kuacha kama kumbu kumbu hapa JamiiForums

    Mkuu hebu jaribu kupata picha ya mwenye miaka 75+ kutumia mitandao ya kijamii
  10. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Tujifunze jambo hapa kutoka kwa R. Kelly na P. Diddy

    Are you for real?
  11. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Maisha 2070: Una nini cha kuacha kama kumbu kumbu hapa JamiiForums

    Nitakuwa nimeshaacha kutumia mitandao ya kijamii kwa sababu hata macho yenyewe yatakuwa yamekataa😂
  12. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Tujifunze jambo hapa kutoka kwa R. Kelly na P. Diddy

    Kwanini Elon Musk pamoja na utajiri wote ulionao Hana hiyo character ya hedonic adaptation au tuseme P- Didy na mwenzake R Kelly ni special ( exceptional) cases. Wapo matajiri wengi sana Duniani na hawajahi kuonyesha dalili za kuwa hedonic
  13. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Tujifunze jambo hapa kutoka kwa R. Kelly na P. Diddy

    Hii porojo tu mbona Elon musk pamoja na utajiri wote huo haijawahi badilika kitabia.
  14. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Tujifunze jambo hapa kutoka kwa R. Kelly na P. Diddy

    Eti jamani 🤔
  15. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Maisha 2070: Una nini cha kuacha kama kumbu kumbu hapa JamiiForums

    Mimi labda nitakachoacha humu ni hivi vicomment na vinyuzi kadhaa uchwara sina chengine wakuu Tuendelee kuombeana uzima na afya njema wanajeiefu
Back
Top Bottom