Jamaa huwa anaongea pumba tupu tu anatumia akili za kulima matikiti kuchambua mpira.
Anadai Arsenal ina wachezaji wa kawaida na hata hakumbuki mara ya mwisho Chelsea kuifunga Arsenal 😂
Arsenal ina wachezaji wa kawaida kulingana na mtazamo wako haya hebu tuambie ni lini mara ya mwisho Chelsea kuifunga Arsenal na kuondoka na point zote 3 ukizingatia Arsenal ina average players
Kumtukana yule mzee matusi ya nguoni ulifanya kitu kinaitwa " character defamation" na hapo lazima utaadhibiwa hususan kupigwa faini.
We nae uwege unalewa kistaarabu Ona sasa pombe zako zimekuletea mabalaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.