Huyu kenge huwa anatumia nguvu nyingi Sana kuhamasisha fikra zake eti Mungu hayupo.
Yaani yeye kila siku huwa anawashwa tu kuanzisha nyuzi za kumpinga Mungu.
Hanaga jingine zaidi ya Hilo😂
Hakuna tofauti Kati ya "angagement" na "engagement"
Pia hakuna tofauti Kati ya "programme" na " program"
Kwa jinsi akili zako zilivyo ndogo hujui kama kuna "American English" na "British English"
Pumbavu wewe!
Chochote kinachobandikwa humu kinageuka kuwa Mali ya JF.
Na kila mtu ana haki ya kucomment,hii JF sio Mali ya Baba yako.
Sio kwamba nafuatilia nyuzi zako Mzee, bt pindi nilipofungua JF ghafla nikakutana na huu utopolo wako na wala sikushughulika hata kusoma kwa sababu najua hunaga jingine zaidi...
Players who have withdrawn from international duties so far
Pietro Hincapie
Bukayo Saka
Leandro Trossard
Martin Ødegaard
Declan Rice
Noni Madueke
Martin Zubimendi
Eberechi Eze
Jurien Timber
Arteta & his boys must be cooking something🤔
Kuna wajinga wanaamini City watashinda mechi zao 8 zilizobaki afu Sisi tupoteze mechi nne ili tupoteze ubingwa
The rare at which Arsenal is giving its haters sleepless nights is very alarming😅
Tangu Saka acute hiki chombo siku hizi amekuwa uchoro Sana uwanjani.
Sijui amepagawishwa kwa mauno ama vipi bt honestly jamaa viwango vyake vimepungua uwanjani.
He's not the Saka we used to know in the last 3 seasons
Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.
Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
Huyo mwamba kuna kipindi alikuja akatua kwenye mojawapo ya miti kwenye compound yetu.
Ndani tulikuwa tunamuuguza mjomba wetu na alikuwa anaumwa vibaya Sana.
Baada ya bundi kuondoka mjomba akakata Moto😔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.