Recent content by Raymanu KE

  1. Raymanu KE

    Hivi kwanini ni ngumu mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzake jina

    Tabia ya kuambiana majina imekaa kifeminist Sana. Wanaume mara nyingi huwa tunaitana tu " brother" inakuwa imeisha hiyo
  2. Raymanu KE

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Huyu kenge huwa anatumia nguvu nyingi Sana kuhamasisha fikra zake eti Mungu hayupo. Yaani yeye kila siku huwa anawashwa tu kuanzisha nyuzi za kumpinga Mungu. Hanaga jingine zaidi ya Hilo😂
  3. Raymanu KE

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Hakuna tofauti Kati ya "angagement" na "engagement" Pia hakuna tofauti Kati ya "programme" na " program" Kwa jinsi akili zako zilivyo ndogo hujui kama kuna "American English" na "British English" Pumbavu wewe!
  4. Raymanu KE

    Ukiota ndoto hizi inaashiria mafanikio na utajiri katika maisha yako

    Hapo nimefanikiwa Kuota ndoto moja tu Kati ya hizo Saba.
  5. Raymanu KE

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Dear English illiterate, Angagements(plural) Angagement( singular) I'm ready to offer you some free English lessons.
  6. Raymanu KE

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Chochote kinachobandikwa humu kinageuka kuwa Mali ya JF. Na kila mtu ana haki ya kucomment,hii JF sio Mali ya Baba yako. Sio kwamba nafuatilia nyuzi zako Mzee, bt pindi nilipofungua JF ghafla nikakutana na huu utopolo wako na wala sikushughulika hata kusoma kwa sababu najua hunaga jingine zaidi...
  7. Raymanu KE

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Mwenzako ameona Leo arudi tena na vimada vyake vya kipuuzi kama kawaida yake kutafuta angagements😂
  8. Raymanu KE

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Players who have withdrawn from international duties so far Pietro Hincapie Bukayo Saka Leandro Trossard Martin Ødegaard Declan Rice Noni Madueke Martin Zubimendi Eberechi Eze Jurien Timber Arteta & his boys must be cooking something🤔
  9. Raymanu KE

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna wajinga wanaamini City watashinda mechi zao 8 zilizobaki afu Sisi tupoteze mechi nne ili tupoteze ubingwa The rare at which Arsenal is giving its haters sleepless nights is very alarming😅
  10. Raymanu KE

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tangu Saka acute hiki chombo siku hizi amekuwa uchoro Sana uwanjani. Sijui amepagawishwa kwa mauno ama vipi bt honestly jamaa viwango vyake vimepungua uwanjani. He's not the Saka we used to know in the last 3 seasons
  11. Raymanu KE

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe. Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
  12. Raymanu KE

    Bundi kwenye Paa la Nyumba Yangu na hataki kuondoka

    Huyo mwamba kuna kipindi alikuja akatua kwenye mojawapo ya miti kwenye compound yetu. Ndani tulikuwa tunamuuguza mjomba wetu na alikuwa anaumwa vibaya Sana. Baada ya bundi kuondoka mjomba akakata Moto😔
Back
Top Bottom