Recent content by Raymanu KE

  1. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kenge kabisa😂
  2. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapa alikuwa analinganisha na alipotoka
  3. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kuachwa na mke huwa yanachukua muda gani kupona

    I'm really sorry for you brother Acha wajuvi wa hizi mambo wake kukuona muongozo
  4. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hivi umesikia alichikisema Enzo Fernandez baada ya kysajiliwa na City?
  5. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Nimekuta SMS za jirani kwenye simu ya mke wangu

    Huyo keshaliwa tayari hapo anakuzuga tu
  6. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Nani yupo kwenye age ambayo baba wa makamo anakutaka na watoto chini ya miaka 25 wanakutaka?

    Acha longo longo nyingi sema Una umri gani
  7. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jamaa huwa anaongea pumba tupu tu anatumia akili za kulima matikiti kuchambua mpira. Anadai Arsenal ina wachezaji wa kawaida na hata hakumbuki mara ya mwisho Chelsea kuifunga Arsenal 😂
  8. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal ina wachezaji wa kawaida kulingana na mtazamo wako haya hebu tuambie ni lini mara ya mwisho Chelsea kuifunga Arsenal na kuondoka na point zote 3 ukizingatia Arsenal ina average players
  9. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu hana lolote alijualo kazi ni kujikusanyia Kadi nyekundu na ndo maana kitaalam anaitwa " sheen kicker"
  10. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hebu tuambie ni mpira gani Chelsea walicheza dhidi ya Bayern kwenye fainali ya UCL 2012 licha ya wao kushinda taji
  11. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu nilimtukana matusi ya nguoni tukiwa bar na nikiwa nimelewa, kanishtaki. Je, nina kesi ya kujibu?

    Kumtukana yule mzee matusi ya nguoni ulifanya kitu kinaitwa " character defamation" na hapo lazima utaadhibiwa hususan kupigwa faini. We nae uwege unalewa kistaarabu Ona sasa pombe zako zimekuletea mabalaa
  12. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu nilimtukana matusi ya nguoni tukiwa bar na nikiwa nimelewa, kanishtaki. Je, nina kesi ya kujibu?

    Azingatia huu ushauri wako anaeza akanusurika
  13. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Mnaokaa nyumba za kupanga (shared) fahamu hili

    Aisee 😂
  14. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Mademu wa Kiafrika siwataki kabisa!

    Mleta mada ukute wazazi wake waliuza ng'ombe huko vijijini wakampeleka shule akasome afu akili alizotoka nazo shuleni zenyewe ndo hizi sasa 🤔
Back
Top Bottom