Recent content by raymankibiki

  1. R

    JamiiForums Tanzania Samsung A22 ipoje wakuu msaada

    A22 ni Imara sana naitumia tangu 2022 na betri yake mpaka iko poa
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

    Niliviona nikavishanga tu ila sikujua ni nini?
  3. R

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata kazi kwenye Casino

    Utanichek Pm nikutumie phone No:
  4. R

    JamiiForums Tanzania Hili la umeme ni ishara tosha kwamba serikali hii ni failure, haipaswi kurudi

    Mhh Nipo mwanga na umeme umekatika mida ya saa moja nikajua ni Wilaya hii tu kumbe ni maeneo mengi ya nchi
  5. R

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata kazi kwenye Casino

    Kuna mtu alisha wahi nambia anafanya kazi ya Casino ila Naweza kupa Namba ukamchek akakupa maelezo?
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini NSSF hawataki kunipa hela zangu?

    Mkuu kama elimu yako ni ya Juu wanachofanya watakupa 30% ya pesa alafu yingine watakua wanakupa baada ya miezi 18,Da hao Jamaa ni hatari sana aise
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Very true,100% agree with...?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Leo nimeingia zaid ya mara 3 kuona kama muendelezo upo
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hata kwangu pia ila nadhani server zinatatizo tuwape mda
  10. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

    Hahah wa2 wako fasta sana
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hahaha yani hatari Sent using Jamii Forums mobile app
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu m nadhani usivunjike moyo maana Kuna watu ambao kazi Yao ni kuvunja watu mioyo usikute hata hizo tips wala hawazifanyi kazi, Sent using Jamii Forums mobile app
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu

    Kuna mmoja alinitosa baada ya ya miezi 8 kanipigia nilicheka Sana aise nilimpa Maka u tu
  14. R

    JamiiForums Tanzania Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu

    Hawa viumbe ni hatari ukimwamini tu imekuka kwako
Back
Top Bottom