zelemelohiym
Senior Member
- Nov 28, 2023
- 111
- 132
Naandika kwa uchungu kwasababu kujiunga ni lazima kwenye kuchukua kimbembe!
Nilikua nataka niende kusoma lakini cha ajabu hawa watu hawataki kutoa hela wananiambia sijui kidogo kidogo hivi unaweza jisomesha kwa hela kidogo kidogo mbona Suala la Elimu halipewi kipaumbele?
Yaani navozungushwa hadi Master yangu naikatia tamaa!
Nifanyeje hamna namna ya kuwashtaki mahakamani?
Nilikua nataka niende kusoma lakini cha ajabu hawa watu hawataki kutoa hela wananiambia sijui kidogo kidogo hivi unaweza jisomesha kwa hela kidogo kidogo mbona Suala la Elimu halipewi kipaumbele?
Yaani navozungushwa hadi Master yangu naikatia tamaa!
Nifanyeje hamna namna ya kuwashtaki mahakamani?