Recent content by Raxy

  1. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wlan connection ya cpe mbil

    100%
  2. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wlan connection ya cpe mbil

    inawezekana kabisa mkuu, ila hakikisha pawe na clear line of site kati ya izo antenna mbili, obstacles kama miti na majengo kati izo two antennas yaweza athiri ubora wa signal au hata ku block kabisa! kama umbali (range) wa mahitaji yako ni exactly 1km bas tafuta kifaa chenye uwezo zaidi ya iyo...
  3. R

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu

    Refrigerator: Lg GC- B369NLJM (ni bottom freezer) naomba kufahamu gharama yake mkuu!
  4. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenye Blender nimefikia hapa

    datura stramonium bidens pilosa galinsoga paviflora
  5. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye kujua tatizo hili kwenye TV anisaidie

    speaker zina leta shida hiyo kwa zile Tv zenye visogo( yaan zinazotumia technologia ya cathode ray kutengeneza picha) lakin kwa tv za kisasa hizi za flat sumaku za speaker hazina effect mkuu, jarib kuchek other alternatives.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kuletewa Balozi mtaalamu wa Ulinzi wa Masuala ya Mitandao ni 'Diplomatic Gesture' ?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

    mkuu ile kit ya starlink ina cost bei gan kwan! na vip kuhusu anga la bongo lipo support na starlink satellites? naona huku kwetu mambo taiti.
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji GSM/ 3g Signal booster

    hapo naona freq ni 1800mhz(downlink) ambayo kwa mitandao mingi hapa bongo 3G na baadhi 4G ndo inaweza kuwa supported na frequency band hii, na mashaka kwa upande wa 2G kama inaweza kuwa supported kwan 2G bongo mitandao mingi ina rushwa na frequency ya 900mhz! nadhan wajuzi zaidi wanaweza saidia...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi ROHO 7

    jamaa alikuwa njema sana! waite polisi nakupenda hip hop! hizi ngoma zitaishi kwenye music library yangu! Sent from my M2010J19CG using JamiiForums mobile app
  10. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji GSM/ 3g Signal booster

    cheki AliExpress.com zinapatikana! ila quality ya boosted signal inategemea sana signal iliopo saiv,kama unaweza pata angalau bar mbili za mtandao saiv basi hicho kifaa kinaweza kukusaidia!
  11. R

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    mkuu,nahitaj soundbar " sonos arc" bila subwoofer yake. vp mna bei gan asee!
  12. R

    JamiiForums Tanzania Hivi atakuja tokea mwanamuziki zama hizi wa RnB kama Celine Dion

    hii mambo ni tamu hataree! fanya kumsogeza kenny Rogers karibu na Dolly Parton, utaskia " islands in the stream" utachomokaje sasa! duh,ila Dion bado mbabe tu!
  13. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee wa Soft Rocks, strong feeling songs -- tukutane hapa

    Milli Vanilli - Girl I'm Gonna Miss You Roxette - It Must Have Been Love phil Collins - I Wish It Would Rain Down R kelly - If I Could Turn Back the Hands of Time Gosby - Everyday
  14. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unapokuwa out of mood (down) wimbo gani huwa unapenda kusikiliza?

    I look to you - Whitney Houston
Back
Top Bottom