inawezekana kabisa mkuu, ila hakikisha pawe na clear line of site kati ya izo antenna mbili, obstacles kama miti na majengo kati izo two antennas yaweza athiri ubora wa signal au hata ku block kabisa!
kama umbali (range) wa mahitaji yako ni exactly 1km bas tafuta kifaa chenye uwezo zaidi ya iyo...
speaker zina leta shida hiyo kwa zile Tv zenye visogo( yaan zinazotumia technologia ya cathode ray kutengeneza picha) lakin kwa tv za kisasa hizi za flat sumaku za speaker hazina effect mkuu,
jarib kuchek other alternatives.
hapo naona freq ni 1800mhz(downlink) ambayo kwa mitandao mingi hapa bongo 3G na baadhi 4G ndo inaweza kuwa supported na frequency band hii,
na mashaka kwa upande wa 2G kama inaweza kuwa supported kwan 2G bongo mitandao mingi ina rushwa na frequency ya 900mhz!
nadhan wajuzi zaidi wanaweza saidia...
jamaa alikuwa njema sana!
waite polisi
nakupenda hip hop!
hizi ngoma zitaishi kwenye music library yangu!
Sent from my M2010J19CG using JamiiForums mobile app
cheki AliExpress.com zinapatikana! ila quality ya boosted signal inategemea sana signal iliopo saiv,kama unaweza pata angalau bar mbili za mtandao saiv basi hicho kifaa kinaweza kukusaidia!
hii mambo ni tamu hataree!
fanya kumsogeza kenny Rogers karibu na Dolly Parton, utaskia " islands in the stream"
utachomokaje sasa!
duh,ila Dion bado mbabe tu!
Milli Vanilli - Girl I'm Gonna Miss You
Roxette - It Must Have Been Love
phil Collins - I Wish It Would Rain Down
R kelly - If I Could Turn Back the Hands of Time
Gosby - Everyday
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.