Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,379
Wakuu nahitaji hicho kifaa kwa ajili ya kuboost Mtandao wa simu eneo nililopo kwani mitandao yote ipo chini sana.
Nikipata kichosave angalau Kipenyo cha mita 500 itakuwa poa sana.
Kwa yeyote anayeuza au anajua kinapatikana wapi nahitaji sana.
Chief-Mkwawa Naomba msaada wako wa kitaalam
Nikipata kichosave angalau Kipenyo cha mita 500 itakuwa poa sana.
Kwa yeyote anayeuza au anajua kinapatikana wapi nahitaji sana.
Chief-Mkwawa Naomba msaada wako wa kitaalam