Recent content by raxx

  1. raxx

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi awa mbeba magunia

    Hapo mtu anapiga ela wewe unasema hujafa hujaumbika.
  2. raxx

    JamiiForums Tanzania Je, mfumo wetu wa elimu ni chanzo cha umasikini?

    Moja kwa moja kwenye mada!! Mara nyingi najiuliza kwamba suala hili la mfumo wetu wa elimu kuzalisha mbumbumbu, Serikali hailioni imeshindikana kuubadilisha, au kuna manufaa gani inapata kwa mfumo huu. Miaka 7 ya primary school tunafundishwa Mkwawa alikufa mwaka gani? Mara Kinjekitile Ngwale...
  3. raxx

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

    Kwa ulicho kieleza hapa mimi binafsi sijaona hao madogo walipo zingua.....kama kweli gazeti lake lina habari mbili zinahusu uchumi ulitaka andike hoja kumi azitoe wapi?
  4. raxx

    JamiiForums Tanzania Mwanamke unakubalije kunuka kikwapa? Kikwapa ni alama ya uchafu

    Haya maneno mawili ya mwisho umemaanisha nini?
  5. raxx

    JamiiForums Tanzania Bashe: Tusiingize siasa kwenye Kilimo tuache soko liamue, tusirudie makosa ya 2017 na 2018!

    Hoja yake ni tuache soko liamue bei mkuu. Mimi naona ni jambo zuri, sio Yale mambo ya mtu mmoja kusimama nakusema maindi yatanunuliwa Kwa tsh 200 Kwa debe, then hoja ya mazao kutoka nje ya nchi ni hoja nyingine.
  6. raxx

    JamiiForums Tanzania Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Camera inajuaje kama ulificha? Nisaidie mkuu
  7. raxx

    JamiiForums Tanzania Wahudumu na Uongozi wa Fish Market mnaishiriki dhambi mbaya ya ubaguzi pasipo kujua malipo ni hapa hapa

    😂😂😂😂. Mimi kama sijapendeza siwezi kwenda bar
  8. raxx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wa geti kali mko wapi siku hizi?

    Vijana Tunadhani kuwa na fedha kunafanya upate real Love..Vijana wenye mtazamo huu nadhani bado hawana Fedha Pesa ni muhimu katika mapenzi lakini lakini sidhani kama utakuwa na furaha kujua kabisa kwamba huyu mwanamke kanipendea Pesa, inakata stimu kabisa.
  9. raxx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wa geti kali mko wapi siku hizi?

    Ndio ninachofanya hicho Dada yangu.....nitafanyaje sasa, unakuta nishavamia mtumbwi wa kibwengo.
  10. raxx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wa geti kali mko wapi siku hizi?

    Hakuna kitu nachukia kama Demu kuniona Danga...nimekutongoza leo kesho eti kafiwa anataka nauli ya kwenda msibani. Hahahahahaha Njaaa tupu alafu kinachouma zaidi unakuta hata kudanganya hajui
  11. raxx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, umewahi kughairi mechi ya kula/ kuliwa tunda? Ilikuwaje?

    Vinaitwaga Majora
  12. raxx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno ya kejeli ya mume wangu

    😂😂😂
  13. raxx

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote

    Kiukweli hili ni tatizo, Kuna mmoja nilitaka kufa kabisa kwa ile harufu hapo hapo ilinibidi niwahi kumeza AZUMA . Alafu dawa ya hizo infenction ni nafuu sana sasa sijui wenzetu wanapenda iyo harufu
  14. raxx

    JamiiForums Tanzania Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo

    Mimi nilivyo uona huu uzi nikasema labda mkuu anakuja kutoa suruhu ya kidini kutukanya kuhusu mabishano yetu kidini kumbe na yeye ni mtu wa mabishano yakidini hivyo ameamua kuleta ubishi tena watu tuanze kubishanaa. ,😂😂😂😂
  15. raxx

    JamiiForums Tanzania Ma cashier wa mwendo kasi wana ujanja wa kuuza ticket za mwanafunzi kwa watu wazima kisha kinachozidi 450 ni chao.

    Ukikaa sehemu kama izo usipo kuwa milionea basi unatakiwa kuchapwa fimbo kabisa...mkuu acha wafaidi keki ya taifa na wao.
Back
Top Bottom