raxx
JF-Expert Member
- Apr 9, 2016
- 326
- 284
Si umuache utafute mwingine.
Ndio ninachofanya hicho Dada yangu.....nitafanyaje sasa, unakuta nishavamia mtumbwi wa kibwengo.
Si umuache utafute mwingine.
Umemaliza mkuu,uzi ufungweOngeaa...Lalamikaa..Tukanaaa ila MWANAUME TAFUTA HELA UPATE MAPENZI either ya kweli au Uongoo tafuta HELAA otherwise piga nyetooo tuuu..!!
Jamaa hapo juu amekuambia hela kwake sio tatizo, tatizo ni mapenzi ya kweli hapa tunazungumzia mapenzi ya kweli..huo mfano wa shoga yako upo tofauti na mada husika maana huyo mume/mpenzi wake alikua hana hela...jamaa yetu hapa hela sio tatizo...😂😂😂Ati mtoto wa geti kali ambae hana njaa ya pesa? Kwa maana nyingine unataka mwanamke kwao mboga saba afu wewe pesa huna una mapenzi tu?
Kwani akiwa sio wa geti kali na kwao wana maisha ya kawaida hawezi kuwa na mapenzi ya dhati?
Wadogo zangu ambao mko humu kwenu pesa haisumbuwi musiolewe na wanaume wenye maisha duni wana wivu kupindukia.
Shoga yangu sasa hivi ni marehemu kisa kuolewa na mwanaume njaa. Na kila mtu alimzuia ila alisema atapambana mme akae sawa.
Baada ya ndoa wivu wa kipumbavu ukaanza. kwao na shoga yangu magari yapo kibao so alikuwa akienda nyumbani kutembea muda wa kurudi kwa mme wake anapewa dereva ampeleke asipande daladala.
Deleva akimfikisha mme akaona walivyoletwa yesuuu anavimba maneno yanaanza oh unajidai kwenu kuna hela maneno kibao.
Kingine tangu amuoe hakuwahi kununua chakula humo ndani anasubili shoga aagize kwao vyakula. Na huyo mwanaume sio kwamba hakuwa na hela hata ya chakula, no alikuwa na kikazi so vipesa vidogo alikuwa navyo.
Shoga yangu alikuwa akipambana bila kujali kwao pesa ipo lakini yule mme hapana.
Hakuwahi mnunulia hata kitenge kisa eti kwao hela ipo? Kilichomkuta ndani ya muda mfupi ni mauti.
Mwanaume tafuta pesa zako wacha kuwaza kuoa wenye nazo wakati wewe una 1200.
tafuta pesa kijana hata mwajuma ndala ndef ukimtunza anakuwa geti kaliContext izingatiwe
Nivilio kila Kona, wanaume wakiuliza yako wapi mapenzi tuliosimuliwa na Babu zetu. Waliotuhadithia kuwa mapenzi si pesa bali hisia za wawili waliopendana na kuamua kuishi bila kuathiliwa na Hali ya mtu kiuchumi, kijamii, na ata kielimu.
Waliotusimulia simulizi hizi wakifufuka na warudi kwenye ulimwengu wa Leo, si ajabu watajikuta chama watakachoweza kujiunga ni CHAPUTA tu kwani mapenzi imekua bidhaa aghali sana .
Almost girls wote wamekua ombaomba, wote wana njaa, wote hawana Kodi, wote hawana uwezo wa kuhudumia simu , wote hawana nauli kuudhulia makwao kipindi matatizo yanapotoke, wote wanahitaji kwenda salon, wote wanahitaji nguo na vifaa lukuki vya urembo. Bila pesa ukidate nao hutayafurahia mapenzi. Na hata ukijitutumua uwe na uhakika makasiriko hayatakuisha.
Mimi nauliza watoto wa geti kali ambao sifa yenu ilikua ni upendo wa dhati Leo mmeenda wapi???
wanawake wanaotokea familia bora wao walikua wakipenda ndo shughuli imeisha. Atafanya visa vyote ili kupambania penzi la roho. Kitu hiki kimekua hadimu kama kupata bikra uswahilini. Jamani watoto wa geti Kali mpo ?
Nauliza hivi coz ukifanya utalii wa ndani ya nchi hii utaona maendeleo ya vitu. Watu wanaishi nyumba Bora za kisasa , wanatembelea magari makali, wanasoma kwenye shule aghali toka kindergarten hadi elimu ya chuo. Cha kushangaza watoto wa geti Kali hawapo Tena mtaani Ili kuendeleza sifa Yao ya mapenzi ya dhati. Badala yake wote wamekua wadangaji na makuwadi.
Najua mtavamia Uzi huu na kusema acha kulialia tafuta pesa, but I stand with my point ....wako wapi wanawake wenye mapenzi ya kweli ?
Wengine tumejaliwa pesa ,ila tunatamani kuzitumia na wanawake wenye mapenzi ya kweli , Cha kushangaza tunaambulia wadangaji.
Tunahitaji mapenzi na sio utelezi na kumwaga. Ndio maana malaya hawezi ku replace mpenzi. Malaya wako kila mahala ila wanashindwa kutambua hitaji la binadamu ni mahusiano zaidi ya sex.
Mmetugeuza wanaume kuwa kama mateja wa sex. Daily tunafanya mambo mengi hatarishi Ili tupate pesa ya kutafuta mapenzi na badala yake tunaambulia mbunye tu. Mbususu sio mapenzi, mapenzi ni furaha, amani, utulivu, maelewano, mshikamano, urafiki, na mapenzi teletele.
Na kwa sababu mapenzi yamekosekana kilichopo sokoni ni sex tu. Nimasikitiko kuona tunaishi kwenye jamii ambayo wanawake hawana kingine to offer than SEX. This is too sad.
Shime shime watoto wa geti Kali mjitokeze muokoe jamii. Kwa mkutadha wa uzi huu mtoto wa geti kali ni yeyote mwenye mapenzi ya kweli na sio njaa ya PESA. Anaeweza kuthubutu kuingia kwenye mahusiano na ukapita mwezi hajatangaza njaa na shida zake bali kipindi chote hicho lugha yake iwe UPENDO
hahahahahaukiona demu anakupendea bundle/hela/vitu/kazi..... ndo hakutaki ivo.mapenzi ya kweli yapo mengi tu. ila jua na mikosi/.balaa/.gundu/ sugu/unalia udomo zege/ujinga wa kudumu/swaga mbovu/.ubaya wa sura yako vipo pia usisahau...utamu wooote huu wa kina dada bado unalialia??...tena siku hizi ndo balaa, wana hela hao.kazi nzuri.mawaziri.waenda Dubai.ulaya mwee! Zaidi kuliko me!....siku hizi me wanabembea kwa hela ya ke!!.....mikosi yako weye huko!hukoooo.tuachie sisi tubembeee nyau weye.
Hujui kuongea wewe....yaani siku za mwisho hizi. mademu ni bwerere....tena vidogoo chuchu saa sita vitamu ivo!! Heeee!...yaani hata madingi wa bungeni wanakupita kwa kuopoa vidosho??? ...nenda kaaguliwe kwenu kuna kitu ulifanya huko...
Mwanaume asie na hela ni TATIZO.Ati mtoto wa geti kali ambae hana njaa ya pesa? Kwa maana nyingine unataka mwanamke kwao mboga saba afu wewe pesa huna una mapenzi tu?
Kwani akiwa sio wa geti kali na kwao wana maisha ya kawaida hawezi kuwa na mapenzi ya dhati?
Wadogo zangu ambao mko humu kwenu pesa haisumbuwi musiolewe na wanaume wenye maisha duni wana wivu kupindukia.
Shoga yangu sasa hivi ni marehemu kisa kuolewa na mwanaume njaa. Na kila mtu alimzuia ila alisema atapambana mme akae sawa.
Baada ya ndoa wivu wa kipumbavu ukaanza. kwao na shoga yangu magari yapo kibao so alikuwa akienda nyumbani kutembea muda wa kurudi kwa mme wake anapewa dereva ampeleke asipande daladala.
Deleva akimfikisha mme akaona walivyoletwa yesuuu anavimba maneno yanaanza oh unajidai kwenu kuna hela maneno kibao.
Kingine tangu amuoe hakuwahi kununua chakula humo ndani anasubili shoga aagize kwao vyakula. Na huyo mwanaume sio kwamba hakuwa na hela hata ya chakula, no alikuwa na kikazi so vipesa vidogo alikuwa navyo.
Shoga yangu alikuwa akipambana bila kujali kwao pesa ipo lakini yule mme hapana.
Hakuwahi mnunulia hata kitenge kisa eti kwao hela ipo? Kilichomkuta ndani ya muda mfupi ni mauti.
Mwanaume tafuta pesa zako wacha kuwaza kuoa wenye nazo wakati wewe una 1200.
mageti yote yamebokaContext izingatiwe
Nivilio kila Kona, wanaume wakiuliza yako wapi mapenzi tuliosimuliwa na Babu zetu. Waliotuhadithia kuwa mapenzi si pesa bali hisia za wawili waliopendana na kuamua kuishi bila kuathiliwa na Hali ya mtu kiuchumi, kijamii, na ata kielimu.
Waliotusimulia simulizi hizi wakifufuka na warudi kwenye ulimwengu wa Leo, si ajabu watajikuta chama watakachoweza kujiunga ni CHAPUTA tu kwani mapenzi imekua bidhaa aghali sana .
Almost girls wote wamekua ombaomba, wote wana njaa, wote hawana Kodi, wote hawana uwezo wa kuhudumia simu , wote hawana nauli kuudhulia makwao kipindi matatizo yanapotoke, wote wanahitaji kwenda salon, wote wanahitaji nguo na vifaa lukuki vya urembo. Bila pesa ukidate nao hutayafurahia mapenzi. Na hata ukijitutumua uwe na uhakika makasiriko hayatakuisha.
Mimi nauliza watoto wa geti kali ambao sifa yenu ilikua ni upendo wa dhati Leo mmeenda wapi???
wanawake wanaotokea familia bora wao walikua wakipenda ndo shughuli imeisha. Atafanya visa vyote ili kupambania penzi la roho. Kitu hiki kimekua hadimu kama kupata bikra uswahilini. Jamani watoto wa geti Kali mpo ?
Nauliza hivi coz ukifanya utalii wa ndani ya nchi hii utaona maendeleo ya vitu. Watu wanaishi nyumba Bora za kisasa , wanatembelea magari makali, wanasoma kwenye shule aghali toka kindergarten hadi elimu ya chuo. Cha kushangaza watoto wa geti Kali hawapo Tena mtaani Ili kuendeleza sifa Yao ya mapenzi ya dhati. Badala yake wote wamekua wadangaji na makuwadi.
Najua mtavamia Uzi huu na kusema acha kulialia tafuta pesa, but I stand with my point ....wako wapi wanawake wenye mapenzi ya kweli ?
Wengine tumejaliwa pesa ,ila tunatamani kuzitumia na wanawake wenye mapenzi ya kweli , Cha kushangaza tunaambulia wadangaji.
Tunahitaji mapenzi na sio utelezi na kumwaga. Ndio maana malaya hawezi ku replace mpenzi. Malaya wako kila mahala ila wanashindwa kutambua hitaji la binadamu ni mahusiano zaidi ya sex.
Mmetugeuza wanaume kuwa kama mateja wa sex. Daily tunafanya mambo mengi hatarishi Ili tupate pesa ya kutafuta mapenzi na badala yake tunaambulia mbunye tu. Mbususu sio mapenzi, mapenzi ni furaha, amani, utulivu, maelewano, mshikamano, urafiki, na mapenzi teletele.
Na kwa sababu mapenzi yamekosekana kilichopo sokoni ni sex tu. Nimasikitiko kuona tunaishi kwenye jamii ambayo wanawake hawana kingine to offer than SEX. This is too sad.
Shime shime watoto wa geti Kali mjitokeze muokoe jamii. Kwa mkutadha wa uzi huu mtoto wa geti kali ni yeyote mwenye mapenzi ya kweli na sio njaa ya PESA. Anaeweza kuthubutu kuingia kwenye mahusiano na ukapita mwezi hajatangaza njaa na shida zake bali kipindi chote hicho lugha yake iwe UPENDO
ukiona mwenye hela yanamkuta makubwa basi jua kina mabo mawili tu.Wee unachanganya mafile, mwanamke ambae hawez kujinunulia bando sioni kama ina mahusiano na kukosa upendo wa kweli labda uwe unazungumzia wale omba omba wanajali ulichonacho tu. We unadhani ukiwa na hela ndio umemaliza kila kitu? si kweli. Uliza wenye mihela yao kinachowakuta.