mkuu kumbe ndiomaana jamaaa wapo kila kona wakitumia kivuli cha utaftaji kumbe wazungu wamewakimbiza!!!!duh sasa wakijitenga vile baadhi yao wanavyotaka watakimbila wapi?????
mkuuu naongea ninachokifahamu and nilichoambiwa kipindi cha uchaguzi....unachosema mie sikuambiwa huku Mahenge Morogoro..labda km wewe uliambiwa kazi yakwanza ingekuwa nikushughulikia mfumo basi sawa...mimi niliambiwa wezi wapo nawanafahamika kilichokuwa komebaki ni tupate madaraka then waswekwe...
wow mkuuu,kumbe ni mchakato...sawa,vp taarifa zandani znasemaje kuhusu wale mabwenyenye wa UKAWA,wao mchakato wao wakuisoma namba itaweza kuanza lini haswa maana mie niliekuwa kimbelembele nakutihii yote niliyoambiwa na CCM nimeshosoma namba tiyari...."nilitamani sana hao mafisadi wakina LOWASSA...
mkuu DNR nakubaliananawe 100%...hili ndilo jipu nililozani Magu angeanzanalo!!!!cha ajabu naona wanamzunguka tu kwanini????mbona mahakama ya mafisadi bado kimya,kwanini hawajampeleka mahakamani??????CCM kwanini mnamwogopa lowasa kiasi hki...maneno ndo meeeeengiii mara ohhooo jamaaa ni fisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.