ravalamanana
Member
- Jan 2, 2016
- 10
- 5
Ndg waTanzania CCM iliniaminisha kwamba nikiwapigia kura(yaani kuipigia CCM kura);basi!!LOWASSA na UKAWA wengesoma namba mapema sana!!!!!cha ajabu bado kimya tu,&wanaosoma namba ni wananchi waadilifu kwa CCM mfano bomoabomoa itakayoendelea January5,2016 jijiniDar.Au mie ndo sijuhi hiii namba inasomwaje???na ninamba ngapi wakuuu????
Last edited: