Recent content by Rationale

  1. R

    Tido Mhando wa Azam Tv nakuomba Idi Pili ukiwa na Rais Samia Live Saa 4 Asubuhi muhoji haya Maswali

    Mbona JPM alipoingia madarakani aliwabadilisha watendaji na wateule wa JK, sasa iweje iwe nongwa Mama naye akiamua kuwabadilisha? Shida iko wapi? Kila kiongozi anatengeneza timu yake!
  2. R

    Wema na huruma zangu zimeniponza, sasa najuta!

    Pole kwa changamoto, umeshawahi kusikia 'nguvu ya akili?', kinachokutesa sio 900K, kinachokutesa ni akili yako inayokuambia kwamba 'huenda umetapeliwa', na kwamba 'hakuna fedha zingine zaidi ya hizi 900K', na akili yako inatumia muda mwingi kujikita kuwazia 900K yako, wakati akili yako inapaswa...
  3. R

    Mpenzi wangu alikuwa akifanya maongezi ya ngono na majirani nikamuadhibu hivi

    Kwanini umpige mwanamke? Kama wewe ni mwanaume rijali unayejiamini , una maguvu yote kwanini utumie maguvu hayo kwa kumpiga mwanamke wako unayedai unampenda!? Kama unadhani amekosea, kwani huwezi kuzungumza naye bila kumpiga? Kwani wewe hukosei? Tangu umezaliwa hadi leo umeshakosea mara ngapi...
  4. R

    Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

    KUNA MASWALI MENGI YA KUJIULIZA KULIKO MAJIBU a) Tukio lilitokea mwaka jana kwanini habari iripotiwe leo? b) Kwanini habari hii iripotiwe wakati mmoja na uzinduzi wa Royal Tour Tanzania na Rais Samia huko Marekani? c) Tukio moja hotelini huko Zanzibar kwanini unasema Wanigeria na watalii...
  5. R

    Single mother anizunguka kama Pele.

    Kuna dada mmoja wa ki islam...... SIJAELEWA SIMULIZI HII INAHUSIANAJE NA UISLAMU WAKE..?! ALIYEELEWA ASAIDIE
  6. R

    Polepole: Wana-CCM tusikae kimya Serikali ikikosea, tuwe wakali na jasiri kukosoa

    Utaratibu wa kuikosoa serikali umeanza lini? Au tukubaliane kwamba ni utamaduni mpya?
  7. R

    Nimfanye nini huyu mwanamke?

    Hebu tutajie vitu vitatu vizuri alivyo navyo mwenza wako hadi ukaakaa naye miaka miwili na kuikiria kuwa mkeo? Vitatu tuanzie hapo kwanza
  8. R

    Uko tayari kulipa shilingi ngapi kama tozo ya kuona kaburi la Magufuli pale Chato?

    Dude, wake up and move on, JPM is gone, get a life!
  9. R

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Ndoa ni muungano na mkataba halali kati ya mwanaume na mwanamke walioamua kuishi pamoja. Ni kibali, ni baraka, ni idhini, ni halalisho, ni ruhusa rasmi kutoka kwa wazazi, taasisi za kidini, ndugu, marafiki na jamii kwamba sasa unaweza kuishi pamoja mwenza wako kama mume na mke. Pia, ndoa ni...
  10. R

    Askofu Gwajima, Hutaki Kuchanja Nakuelewa, Lakini Kwanini Unashawishi na Wengine Wasichanje?

    Kwa muda mrefu sasa Askofu Gwama ametangaza wazi wazi kwamba hataki kuchanja chanjo ya Corona, ninamuelewa kwani ni haki yake binafsi kukataa, maana chanjo ni hiari. Mahali ambapo simuelewi ni pale anapofanya kampeni ya makusudi, ya waziwazi, tena kwa kutumia lugha kali sana kuwashawishi na...
  11. R

    Ni jambo gani ambalo ulisingiziwa na unaonekana kweli ulilifanya na utetezi wake umekataliwa mpaka Leo? Yaani Ukweli halisi unao mwenyewe tu

    Dah, miaka mingi nyuma nikiwa mdogo, darasa la 7 au form 1, nilisingiziwa na mzee mmoja kwamba eti nimemchungulia akiwa chooni. Nilikuwa na mazoea ya kwenda kumtembelea uncle wangu mmoja kwake na alikuwa amepanga nyumba ya nyuma na nyumba kubwa ambayo mbele alikuwa akikaa mzee mwenye nyumba...
  12. R

    Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

    Kwenye hii habari sioni kipya kisichojulikana, habari imekuwa 'too normal'
  13. R

    Aliniacha kwa fedheha, lakini leo anahitaji msaada wangu

    Kuna mambo mawili hapa ambayo watoa maoni wengi naona kama wanayachanganya, 1) Kwanza ni je urudiane naye ama la? Hili ni juu yako, usikilizie moyo wako unasemaje, umelalamika kwamba ulimpenda sana, lakini amekusaliti na ukaamua ku move on, uamuzi hapa ni juu yako ukiamua kurudiana naye ni...
Back
Top Bottom