Single mother anizunguka kama Pele.

Single mother anizunguka kama Pele.

Acha kulalamika Mkuu, kama tako analo nunua smatifoni kisha mtafute.
 
Kuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Alicholalamika huyo Bwana Ni nini mbona umeficha?nakushauri achana na mke wa mtu tafta mwanamke ambaye hana mtoto kama abdo hujaoa zaidi sana achana na mke wa mtu.
 
Alicholalamika huyo Bwana Ni nini mbona umeficha?nakushauri achana na mke wa mtu tafta mwanamke ambaye hana mtoto kama abdo hujaoa zaidi sana achana na mke wa mtu.
Nimemuacha mkuu. Jamaa anaweza hata akanitoa makende. Anaweza akaniendea kwa sangoma hata.
 
Watu wenye uwezo huwa hawaogopi vijimambo vidogo vidogo kama hivyo.

Tena wanaingia kichwa kichwa sasa kazana kuongeza kauwezo.
Inategemea, Sina uwezo kwamba ni tajiri. Nina kipato Cha kawaida kama Cha kwako na Cha mwingine.
 
Kuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Mwanamke mwenye mtoto kama mumewe bado yupo hai wakikutana kuliwa kawaida sana hasa mwanaume akihitaji anakula tu
 
Hapo hatujaona kauwezo kokote akae kwa kutulia.
Yaan sijui nisemeje kutojiamini unahisi unapendwa kisa vitu ulivyonavyo
Jana nimesoma uzi eti hataki mpenzo wake ajue kama ana nyumba amepangisha kwani akijua ndio itakuwa yake 😂😂😂😂 uchoyo uchoyo ambao hauna hata maana
 
Kuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Kuna dada mmoja wa ki islam...... SIJAELEWA SIMULIZI HII INAHUSIANAJE NA UISLAMU WAKE..?! ALIYEELEWA ASAIDIE
 
Sasa kinachokuuma ni nini wakati kuachana umekutaka mwenyewe.
Kama ni mchezo au sio mchezo maamuzi si ulishayatoa mjuba?? Namna gani wewe...
 
Ninyi ndio mnafanya watu wanaona mapenzi ni ujinga
 
DJ play kale kawimbo.kanakosemaa..
Kanunua simu kampa demu walipoachana kampokonyaa..kwaajili ya mleta mada
 
Kuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Ungemnunulia smartphone
 
Acha kujaza Server bure. Ww sema tu umeachwa ila una penda show yake.
 
Back
Top Bottom