Not me. Mjanja mjanja ila Mimi pia wa mjiniAcha kulalamika Mkuu, nunua smatifoni kisha mtafute.
Alicholalamika huyo Bwana Ni nini mbona umeficha?nakushauri achana na mke wa mtu tafta mwanamke ambaye hana mtoto kama abdo hujaoa zaidi sana achana na mke wa mtu.Kuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Hapo hatujaona kauwezo kokote akae kwa kutulia.Eti kisa una uwezo jamani
Watu wenye uwezo huwa hawaogopi vijimambo vidogo vidogo kama hivyo.Nahisi walitaka kunipiga
Nimemuacha mkuu. Jamaa anaweza hata akanitoa makende. Anaweza akaniendea kwa sangoma hata.Alicholalamika huyo Bwana Ni nini mbona umeficha?nakushauri achana na mke wa mtu tafta mwanamke ambaye hana mtoto kama abdo hujaoa zaidi sana achana na mke wa mtu.
Inategemea, Sina uwezo kwamba ni tajiri. Nina kipato Cha kawaida kama Cha kwako na Cha mwingine.Watu wenye uwezo huwa hawaogopi vijimambo vidogo vidogo kama hivyo.
Tena wanaingia kichwa kichwa sasa kazana kuongeza kauwezo.
Mwanamke mwenye mtoto kama mumewe bado yupo hai wakikutana kuliwa kawaida sana hasa mwanaume akihitaji anakula tuKuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Yaan sijui nisemeje kutojiamini unahisi unapendwa kisa vitu ulivyonavyoHapo hatujaona kauwezo kokote akae kwa kutulia.
Kuna dada mmoja wa ki islam...... SIJAELEWA SIMULIZI HII INAHUSIANAJE NA UISLAMU WAKE..?! ALIYEELEWA ASAIDIEKuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Ndo maana unaona unapigwa tu.Inategemea, Sina uwezo kwamba ni tajiri. Nina kipato Cha kawaida kama Cha kwako na Cha mwingine.
Klikuwa na ulazima gani wa kusema dini yake, kwani usingesema hivyo si ungeeleweka tu!Kuna dada mmoja wa ki Islam
Ungemnunulia smartphoneKuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada wa fedha maana aliona Nina kauwezo kidogo. Nimekaa naye vizuri tu. Ila akaja kuomba cmu smartphone anasema yake inastuck. Nikamuambia atulie kwanza now Sina kitu. Mwez ujao nitampa. Nilimvuta maksudi. Ila nilikuwa na mpango wa kumnunulia angeonyesha uvumilivu. Nikamtafutia simu ndogo ya Nokia atumie kwa muda ambao yake inasumbua. Sasa kumbe jamaa aliyezaa naye huwa anaenda kumuona. Jion moja jamaa akachukua Ile cmu yangu akasoma message nilizokuwa nachat na demu. Akanipigia. Nilipokea sikujua ni Nan. Akaongea na kulalamika nikakata simu. Demu akanicheki akaniambia huyo jamaa kaja kachukua Bila yeye kujua. Alikuwa kazin kwake. Baada ya tukio niliona huyu demu ni michezo hiii anacheza. Nikamuangalia nikampima nikaona huyu nimuache tu. Nilimtumia text ya kumuambia tuachane. Akalalamika na kuigiza lakin nilijua ni uongo. Tukaamua kuchuniana. Mpaka now nimechuna na yeye kachuna. Je huu ni mchezo kacheza? Kaamua kunizunguka?
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app