Recent content by Rat Race

  1. Rat Race

    Nimeamini kwa sasa Watanzania hatuko huru, nimekamatwa kisa kunywa bia kabla ya saa 10

    Polisi hawana akili kuna siku walinikamata huko huko mwanza kisa nimevaa shuka la kimasai.
  2. Rat Race

    Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

    Naunga mkono hoja hapo pa BMW. Hizo gari engine zake zilikua na tatizo la rod bearing na engine zilikua zikifika rpm kubwa zina blow. All in all hakuna gari ambayo haina udhaifu.
  3. Rat Race

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Dini ni moja ya mambo ambayo yamekua yakiharibu binadamu. Watu wanakua brainwashed sana na ukikuta mtu kazama huko anakua hana tofauti na mtu anae tumia mihadarati. Religion is cocaine in another form.
  4. Rat Race

    Msaada: Gharama za ununuzi wa gari za mashindano

    Ila unaweza ukaichukua na kuifanyia engine swap... Japo itakukosti.
  5. Rat Race

    Msaada: Gharama za ununuzi wa gari za mashindano

    Ucjali mkuu... Ukinunua watafute gtp auto garage wakufanyie tuning wapo vizuri.
  6. Rat Race

    Msaada: Gharama za ununuzi wa gari za mashindano

    Zote hizo... Ila nakushauri uchukue Toyota Supra Ina engine ambayo unaweza kuichezea kama unavyo taka na inaweza kutoa nguvu hadi 1000. Ina camshaft nzuri sana.
  7. Rat Race

    Msaada: Gharama za ununuzi wa gari za mashindano

    Dollar 25 elfu Hii ni importation plus modifications
  8. Rat Race

    Randers Fc...Hatutompa mkataba kwa sasa Himid Mao.

    Tanzania kuna wachezaji au watu wana ruka ruka tu.
  9. Rat Race

    Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

    Kuna jamaa yangu alikua expelled jeshini ambako alikua anachukua kozi ya ukomando hua anatupa tabu sana Kipindi cha sparring, kuna siku walipiga sparring na marehemu Mashali ilikua burudani sana. Sema huu mchezo haufai kufundisha vijana watakua wakabaji.
  10. Rat Race

    Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

    Mkuu karate ni mchezo wa kijapani ambao unahusisha miondoko kadha wa kadha ya mikono katika kujilinda na kushambulia. Judo nao ni mchezo wa kijapani ambao upo kama sumo ila huu una husisha kupigana lock, kuangusha angusha ni kama mieleka fulani hivi. Kung fu - Huu ndio mchezo wa wanaume sasa...
Back
Top Bottom