Naunga mkono hoja hapo pa BMW.
Hizo gari engine zake zilikua na tatizo la rod bearing na engine zilikua zikifika rpm kubwa zina blow.
All in all hakuna gari ambayo haina udhaifu.
Dini ni moja ya mambo ambayo yamekua yakiharibu binadamu.
Watu wanakua brainwashed sana na ukikuta mtu kazama huko anakua hana tofauti na mtu anae tumia mihadarati.
Religion is cocaine in another form.
Zote hizo...
Ila nakushauri uchukue Toyota Supra Ina engine ambayo unaweza kuichezea kama unavyo taka na inaweza kutoa nguvu hadi 1000.
Ina camshaft nzuri sana.
Kuna jamaa yangu alikua expelled jeshini ambako alikua anachukua kozi ya ukomando hua anatupa tabu sana
Kipindi cha sparring, kuna siku walipiga sparring na marehemu Mashali ilikua burudani sana.
Sema huu mchezo haufai kufundisha vijana watakua wakabaji.
Mkuu karate ni mchezo wa kijapani ambao unahusisha miondoko kadha wa kadha ya mikono katika kujilinda na kushambulia.
Judo nao ni mchezo wa kijapani ambao upo kama sumo ila huu una husisha kupigana lock, kuangusha angusha ni kama mieleka fulani hivi.
Kung fu - Huu ndio mchezo wa wanaume sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.