Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,727
Alianza kuota ndoto.kwa hiyo aliposinzia ndo ikawaje?...
Alianza kuota ndoto.kwa hiyo aliposinzia ndo ikawaje?...
Hata mimi huwa siwaelewi kabisa, eti ajali haina kinga, mara kifo hupangwMkuu Watu wenye Mtazamo/Imani Kama yako huwa siwaelewagi kwenye swala hiyohiyo imeandikwa wapi? Kwa hiyo Yule maskini ya Mungu ambae amezaliwa Na kuzeekea kijijini ikitokea Kama amepangiwa kufa Kwa ajali ya ndege inamana itatokea muujiza wa kupanda ndege from where iki kile alichoandikiwa kikatimie kwamba akafe Kwa ajali ya ndege? Naomba nisaidieni kinielemisha hapo maana tunajifunza kila siku!
Hata mimi huwa siwaelewi kabisa, eti ajali haina kinga, mara kifo hupangwa na Mungu, nk. Hizi zote ni imani kinyume na Kweli hataMkuu Watu wenye Mtazamo/Imani Kama yako huwa siwaelewagi kwenye swala hiyohiyo imeandikwa wapi? Kwa hiyo Yule maskini ya Mungu ambae amezaliwa Na kuzeekea kijijini ikitokea Kama amepangiwa kufa Kwa ajali ya ndege inamana itatokea muujiza wa kupanda ndege from where iki kile alichoandikiwa kikatimie kwamba akafe Kwa ajali ya ndege? Naomba nisaidieni kinielemisha hapo maana tunajifunza kila siku!
Hata mimi huwa siwaelewi kabisa, eti ajali haina kinga, mara kifo hupangwa na Mungu, nk. Hizi zote ni imani kinyume na Kweli hata za huyu Mungu hakika. Tunajidanganya sana.Mkuu Watu wenye Mtazamo/Imani Kama yako huwa siwaelewagi kwenye swala hiyohiyo imeandikwa wapi? Kwa hiyo Yule maskini ya Mungu ambae amezaliwa Na kuzeekea kijijini ikitokea Kama amepangiwa kufa Kwa ajali ya ndege inamana itatokea muujiza wa kupanda ndege from where iki kile alichoandikiwa kikatimie kwamba akafe Kwa ajali ya ndege? Naomba nisaidieni kinielemisha hapo maana tunajifunza kila siku!
Vipi kabla ya ndege kugunduliwa kwa vijiakili vya wanadamu Sir God alikuwa hawa assign watu wafe kwa ajali za ndege, kwahiyo naye Mungu anabadilisha gia kulingana na maendeleo yetu wanadamu? Duh! Hii kali.yeah kama alipangiwa afe akiwa katika ndege au afe kwa ajali ya ndege then atakufa tu katika hiyo situation hata kama alikua maskini hana ata shillingi. there are millions of ways ambayo zitasababisha yy awepo kwa ndege at that moment. kwa mfano, anaweza akacheza bahati nasibu akshinda pesa nyingi akapanda ndege, au anaweza kupata utajiri kdogo kdogo hadi kufikia uwezo wa kupanda ndege, au inawezekana alikua na ndoto siku moja nae apande ndege, hivyo akawa ana dunduliza pesa kdogo kdogo etc.. kama nlivyosema there are millions ways or even infinity.
Kichekesho.Ndege kubwa katika masafa marefu Pilot ukishaseti computer zako unaweza ukaondoka kwenye cockpit kwa muda.Kweli ushamba ni mzigo.Walidhani ni basi ambalo dereva lazima ashike usukani kila saa.Kwa ufupi,
Ndege hiyo ilikuwa na abiria zaidi ya 305 ikisafiri kutoka mji mkuu wa Pakistan, Islamabad kuelekea London, Uingereza.
Rubani auchapa usingizi ndani ya ndege, azua tafrani
Islamabad, Pakistan. Abiria waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Pakistan (Pia) waliingiwa taharuki baada ya kugundua kuwa rubani wa ndege hiyo alikuwa ametoka katika chumba chake na kuelekuea sehemu nyingine kulala.
Ndege hiyo ilikuwa na abiria zaidi ya 305 ikisafiri kutoka mji mkuu wa Pakistan, Islamabad kuelekea London, Uingereza.
Rubani huyo, Amir Akhtar Hashmi anadaiwa kumwacha rubani mwanafunzi katika chumba cha kuongezea ndege na kwenda katika moja ya sehemu za abiria ambako alijifunika blanketi na kulala.
Tukio hilo lilitokea muda mchache baada ya ndege hiyo kuanza kuruka.
SOURCE:MWANANCHI
Upeo wetu (binaadamu) wa kufikiria ni mdogo sana. hivyo kuna mambo ukiyatafakari huwezi pata majibu yake, na ndio maana Mungu akashusha vitabu vitupe muongozo katika hili. kuna mambo maswali binaadamu hatuna majibu yake,..Vipi kabla ya ndege kugunduliwa kwa vijiakili vya wanadamu Sir God alikuwa hawa assign watu wafe kwa ajali za ndege, kwahiyo naye Mungu anabadilisha gia kulingana na maendeleo yetu wanadamu? Duh! Hii kali.
sizani kama rubani alikuwa anasema sahihi. navyojua ndege hizi kubwa zinazosafiri umbali mrefu (over continental) huwa wana switch kwenye autopilot navigation pale wanapokuwa wamefikia kiwango cha altitude (cruising altitude) kinachotakiwa baada ya maelekezo kutoka kwa air traffic controller. swali la msingi ni kwa nini wana-engage autopilot, ni kupunguza uwezekano wa ndege kuyumba na kurahisisha abiria kusafiri raha mstarehe...(autopilot vs manual model). ndege inapokuwa angani lolote linaweza kutokea kwa mfano ndege kumis-behave kutokana na turbulence or technical issues...na ni jukumu la rubani kuwepo na ku-fix hizo errors. jambo jingine ni crossing air traffic, rubani lazima awe macho kuangalia njia anayotumia na ndege nyingine anazopishana nazo ili ku-avoid mid-air collision...(kwa msaada wa air traffic controller ambao wanakuwa kwenye zile control tower...kwa ndege za sasa kuanzia technology ya DC-9, DC-10 na haya ma-boeing na Airbus kama ndege 2 ziko kwenye same cruising altitude, alert warning itatoka kwenye each flight....descend...or..Climb! sasa kasheshe itakuwa badala ya mmoja apande na mwingine ashuke...wote wanakuja ku-execute the same decision...ndo maana unasikia ndege za abiria zimegongana angani...(uzembe wa mwongoza ndege na Rubani pia)...Refer case ya Bashkirian Airlines Flight 2937 against DHL Flight 611 maarufu kama Überlingen mid-air collision
https://www.google.com/url?sa=t&rct...8Q_ZtgKYbO_KfafYg&sig2=CT6Wiv4oXRDayrHDPod9bQ
Huyo rubani ana roho nzuri sana inaonyesha hana mtimanyongo kwa huyo mwanafunzi ndo maana kamuambia dogo komaaKwa ufupi,
Ndege hiyo ilikuwa na abiria zaidi ya 305 ikisafiri kutoka mji mkuu wa Pakistan, Islamabad kuelekea London, Uingereza.
Rubani auchapa usingizi ndani ya ndege, azua tafrani
Islamabad, Pakistan. Abiria waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Pakistan (Pia) waliingiwa taharuki baada ya kugundua kuwa rubani wa ndege hiyo alikuwa ametoka katika chumba chake na kuelekea sehemu nyingine kulala.
Ndege hiyo ilikuwa na abiria zaidi ya 305 ikisafiri kutoka mji mkuu wa Pakistan, Islamabad kuelekea London, Uingereza.
Rubani huyo, Amir Akhtar Hashmi anadaiwa kumwacha rubani mwanafunzi katika chumba cha kuongezea ndege na kwenda katika moja ya sehemu za abiria ambako alijifunika blanketi na kulala.
Tukio hilo lilitokea muda mchache baada ya ndege hiyo kuanza kuruka.
SOURCE:MWANANCHI
Tena mkuu, new generation ya ndege zijazo kutakuwa hakuna haja ya kuajiri pilots.Sasa si alishaweka auto pilot?
Upeo wetu (binaadamu) wa kufikiria ni mdogo sana. hivyo kuna mambo ukiyatafakari huwezi pata majibu yake, na ndio maana Mungu akashusha vitabu vitupe muongozo katika hili. kuna mambo maswali binaadamu hatuna majibu yake,..
nikuulize swali: je ww unalo ini (liver)? ulishawahi kuliona kama unalo? una uhakika wa asilimia ngapi kama unalo?
nadhani swali lako si kuhusu ajali-ndege things, swali lako ni "je Mungu yupo"? ..
Ni wasiwasi wako tu ila ujue usafiri wa ndege ndio usafiri salama zaidi kulinganisha na vyombo vyote vingine vya usafiri..Huu usafiri natumia kwa sababu tu nakuwa sina namna, ila mimi sijawahi kabisa kuizoea ndege, ningekuwa mimi humo nafikiri hali yangu ingekuwa mbaya mno
Kweli kabisa, ndege nyingi zina auto pilot facility, una feed root baada ya kufika kwenye cruising altitude, hapo hata ukiuchapa usingizi hamna noma, usafiri wa ndege siyo kama wa aboud ana Mohamed trans.ni kitu cha kawaida hicho rubani anaweza kuset ndege ikaenda yenyewe sema huwa wanaogopa abiria wanaweza pata wasiwasi km hivyo

Wa stendi unafikiri hilo ni kama basi la Mohamed trans?Huyo rubani ana roho nzuri sana inaonyesha hana mtimanyongo kwa huyo mwanafunzi ndo maana kamuambia dogo komaa
ni kweli Mungu ameweka kanuni na ndio maana kuna watu wataenda peponi na watu wataenda motoniHapana, hujanielewa au ni mimi sijakuelewesha vyema, naamini kuna nguvu ya ASILI ipitayo nguvu zote na ndio asili ya yote, tunamuita Mungu.
Nisichoamini mimi na ambacho ndo ukweli wenyewe, kwamba Mungu anapanga kila kitu kinachomtokea au kumzunguka mwanadamu au viumbe, big no. Ametoa kanuni, ni jukumu letu kunifuata na zipo tangible.
Usipozifuata zitakufikisha mahali na akizifuata pia zitakufikisha mahali pake. Ni kanuni tu, kila idara kuna kanuni zake, pasi kanuni hakuna litakalompa kuwa kuwepo.
Sasa sisi tunavunja kanuni ukilipata linalokupata lawama kwa ASILI kuu, ni kosa. Mfano, gari umeambiwa lipakie watu 30 na tumepewa kanuni za jinsi ya kulimiliki na kuliendesha, menu book, hufanyi, yakikutukia eti Mungu kapanga, hapana.