Unataka kutuaminisha kuwa hizo nafasi huwa wanazipata kwa kuwekwa nyumba ndogo na vigogo? Kuna madai ya wale wabunge wa kike wa CHADEMA waliounga mkono juhudi kipindi cha mwendazake kuwa viongozi wa CHADEMA huwa watoa hizi nafasi za viti maalumu kwa rushwa za ngono na 10% kwenye malipo yao ya...
Tatizo la CHADEMA ni kujiona kama wao wanahatimiliki ya siasa za upinzani nchini. CDM wanavichukia vyama vingine vya upinzani kuliko hata CCM. Ubinafsi wao utawagharimu safari hii,baada ya uchaguzi wa mwaka huu ACT Wazalendo kinaenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini. Amini kwamba
CHADEMA Ubinafsi wenu utakiangamiza chama chenu. Juzi tu mlikuwa mnamshabikia huyo Membe baada ya kujiunga ACT Wazalendo badala ya Cdm kama mlivyokuwa mnafikiri eti Membe hana maajabu .
Nyie ndio mmelaanika,ulishawi nukuliwa humu kuwa Lowassa akisisima kwenye uchaguzi kwa tiketi ya Chadema utajitoa Ukawa. Ajabu ni kuwa Slaa aliyesimamia msimamo wake was awali anaonekana msaliti na nyie mliogeuziwa gia angani na kubadili misimamo yenu ya kuwa Lowassa fisadi eti ndio wazalendo.
Inawezekana kabisa Buvac na Klopp kuna tatizo,kwa nini aondoke kipindi muhimu kabisa kwa msimu. Hizi taarifa pia za Buvac kwenda Arsenal sio nzuri kwa kipindi hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.