Mi nimiongoni mwa wanufaika wa mkopo ambao hivi sasa naulipa kupitia makato ya mshahara nimeenda ofisi ya bodi kuhakiki deni lililobaki naambiwa nitofauti nakias kinachosomeka kwenye salary sleep eti retention fees ongezeko ni asilimia 6 kwa mwaka hivyo kadri unavyolipa kwa miaka mingi na fees...
nadhan wanapenda t kipindi cha mwanzo mapenz huwa na bashasha tele lakin kipindi cha mpito nikigum sana kwao hawaamin kipindi cha pili kama wanaweza saidiwa na upepo labda solution kwao ni kubreak apart
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.