Recent content by Ras Tafari

  1. R

    Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

    Hela zinaliwa toka serikali yako ya mtaa mpaka mpaka serikali kuu...ndio maana unashangaa kwanini wewe huna hela. Ukipewa ofisi yenye access na hela hapo ulipo lazam utaiba. Kabla haujanyooshea watu vidole vya kusuta au kulaumu jiulize how much have stolen yourself kwa hicho kijinafasi chako...
  2. R

    Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

    Nenda kaishtaki CDM Mahakamani...acha u snitch
  3. R

    Mtoto wa mmiliki wa Mabasi ya HBS Express ajiua kisa kupunjwa mali

    Kuvuja kwa pakacha...wenzake watapata alichokiacha....unajiua kwa mali isiyo yako...pumbavu sana
  4. R

    Kamata kamata ya Kesi za uchochezi zinaendelea usiku wa manane

    Mada ni mdogo mtu analilia ndugu yake aachiwe na point iko very clear...issue ya grammar ya Kiswahili inahusu nini??
  5. R

    BAD NEWS: Mwandishi Finnigan Simbeye wa The Guardian aokotwa akiwa hajitambui, amepigwa vibaya jijini Dar

    Hivi hiyo timetable ya Finnigan mbona imekaa kimpangilio namna hiyo?aliyekuwa akifuatilia muda na idadai ya beer alizokunywa alikuwa ana interest gani nae?? Watu wengine ni wapika dhambi wakuuu
  6. R

    Askofu Ngalalekumtwa mbele ya Rais Magufuli asema "kusitokee kufuli"

    Labda UNION ama YALE ama Multilock..genuine Locksets
  7. R

    zebra bar mtoni kwa Azizi Ally badilikeni

    Nenda bar nyingine au una kadaftari ka mkopo kama dukani kwa mangi?..kanywe mbele hukoo
  8. R

    Trailer na Van kwenye misafara ya Rais

    Weka picha....itakuwa bomu
  9. R

    Rais Magufuli mgeni rasmi kusimikwa kwa Askofu Mkuu mteule Askofu Isaac Amani Masawe jimbo kuu la Arusha

    "Mbinguni kuna vimaraika vinapiga bwana...ngumu teke chini.."
  10. R

    Rais Mstaafu J. Kikwete: Safari zimenifunza ni heri "Mtembea bure kuliko Mkaa Bure"

    Tembea upate exposure baba....ingekuwa ni mimi ningehakikisha nimeenda space station ya NASA huko mbinguni huko juu...kuzagaa zagaa nyumbani kwako hakukufanyi kuwa mchumi.Ova
  11. R

    RIP English...Tanzanians please use Swahili

    Watu wengine pumbavu kabisa...mnatukuza ukoloni kuliko Mungu...English ndio nini?ukiongea English inaondoa mashida ulizo nazo kwa nyumba yako?wako mafala mob Nai wanabonga kimombo but they are living miserably...kimombo yao inawa sort aje?wacheni ufala
  12. R

    Alcohol drinkers special thread

    Nakunywa kila kitu kasoro sumu
  13. R

    Kwa kutuhumiwa ku overtake vibaya nimelipa faini sh 30,000

    Kama ulipita kushoto na tairi ikakanyaga mstari wa manjano pembeni ni kosa and again kama ulitoa tairi ya kushoto nje ya lami pia ni kosa....siku nyingine tulia moaka aliyeko mbele akishakata kulia aende....othws hawa mapanya yatakuuma tuu
Back
Top Bottom