Asee room ya A2 nilikuta machata yako ya Osama mtt kuna watu wapo second year saiv wakaw wananambia ulkuaga mbabe Sana ila namm nlivyokua tu roomleader nkafuta michata yako yoote na mm ndo nkawa mbabe pale so saiv madg nlowaacha wamekuta historia yang na machata yang now npo first yr chuo ila...
Issue boy pia ana IQ kubwa coz vtin vyake alivyoandka vle na kuvisummarize kutoka kwnye vtab vkubwa vilinsaidia sana kufauru advance bila kumsahau sir Unga na pia mwalim wa olevel wa history Mr.Njeje hao ndo watu wang ambao nahic wana high IQ kwa mawazo yang
dooh jamn wengne mpka saiv not allocated in 1st batch af course za vpaumbele ufaulu mzur but WHY? hawa hesbl hawa sema tu ndo vle hatuna uwezo wa kuretreat jins wanavyotufanyia
yaan ww sodoka cjui mdudu gan kama hauna mawazo ya kuchangia c bora usicoment chochote kulko kuweka pumba zako yaan sehem nyng nakutakag umecoment negatively ili tu kuvunja mtu moyo yaan cjui hata unasoma program gan inayokufany ulinge hvyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.