Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Halafu pesa unasema elfu hamsini "tu" wakati unadai unashindia buku. Weka details zako zote za chuo zinazokutambulisha hapa na uthibitisho kuwa huna mkopo.
Mkuu naomba msaada wako wa kipesa mpak mda huu sijala kitu MUNGU ANIOKOE NA SHIDA HIZI.
Magufuli MUNGU ampe maisha marefu.
 
Nahisi uwezekano upo, maana sifa tunazo na kozi ni priority. Mungu atusaidie tu
 
Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
nipe nitatue mari.n.da upate pocket e. money.
 
Screenshot_2016-10-24-13-59-54.png
 
Back
Top Bottom