masaione
Senior Member
- Sep 21, 2016
- 143
- 58
Duuu! Majina mengine bna !!! Yakukosesha mambo!... Eti ..( van same)We ni van dame bhana,komaa tu. Vipi upo mkoa gani? Kama ni iringa uwe unakuja geto hapa mkwawa unakula kisha unaenda kusoma

Duuu! Majina mengine bna !!! Yakukosesha mambo!... Eti ..( van same)We ni van dame bhana,komaa tu. Vipi upo mkoa gani? Kama ni iringa uwe unakuja geto hapa mkwawa unakula kisha unaenda kusoma

Sawasawa amygdala basal ganglia yupo.. Na hippocampal formation jeeemkuu vumilia
Mkuu naomba msaada wako wa kipesa mpak mda huu sijala kitu MUNGU ANIOKOE NA SHIDA HIZI.Halafu pesa unasema elfu hamsini "tu" wakati unadai unashindia buku. Weka details zako zote za chuo zinazokutambulisha hapa na uthibitisho kuwa huna mkopo.
yeah nipo na timu nzima ya limbic system hapa maisha yanaendeleaSawasawa amygdala basal ganglia yupo.. Na hippocampal formation jeee
Nimecheka sana. Bora atesti zali abeti au siyo? Hahahaha.Pesa ya kula unanunulia bundle, bora hiyo pesa ungebet mechi za jana eti.
Me mwenyewe nimechaguliwa hapo optometry ila sijaja mpka sasa kisa mkopo sijapata. Dah mpk naumwa kichwa kuhusu mkopoNpo KCMCo
Bila kuwasahau Ascending na Descending pathways hupo nao nadhani bila shaka awajaacha ku- decussateyeah nipo na timu nzima ya limbic system hapa maisha yanaendelea
Kesho kutwaUtaingia lini mkuu
nipe nitatue mari.n.da upate pocket e. money.Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
daah huyu kumbe anafnya kaz TCU af anatulilia njaa