Recent content by Random

  1. Random

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kuna dada mkali hatare nlikua nae siti moja Dom to Dar, kugeuka nkaona tunda Damu mkononi mwake anataka kulila kashafikisha usawa wa mdomo, nkamwambia kwa sauti ya upole hali ya kumshtukiza sreiously, nkamwambia, kuna mdudu alaf within a second nkalichukua nkalila, akatoa tabasam flan la meno...
  2. Random

    #COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

    Ili umuelewe lazima uwe na roho mtakatifu alaf uwe unamiliki mali
  3. Random

    Jingle Bells - Msaada wa tafsir

    ... Now, the ground is white so go it while you're young, Take the girl tonight and sing this sleighing song ... (Jim Reeves) Mwenye tafsir/maelezo yaliyonyooka kwenye hiyo mistari miwili apo juu please share nami hapa
  4. Random

    Yajue mambo 10 yanayofanywa na wanaume lakini huwakera sana wanawake wengi

    1. Kutokiri makosa 2. Kutoa hewa chafu hadharani 3. Kumuangalia mwananke mwingine 4. Kukoroma usingizini 5. Kukataa kufanya kazi zaid ya moja 6. Kutomfanyia vitu vya kumshangaza 7.Kutomsikiliza mwanamke 8. Kuangalia mpira/michezo 9. Kutofanya kazi za nyumbani 10. Kuhodhi rimoti ya TV Source...
  5. Random

    Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

    Salam Namastee.. Kwa mlioko Dar hasa wanaume mmeshuhudia live kisa kipya cha 2021, sisi wa mikoan tunazipata huku na kule Mzee Abdul kanyimwa mtoto baada ya miaka 30's na kalipokea hilo kwa busara sana kama ambavyo interview yake inajieleza huko mitaa ya yutub. Ikiwa ni kweli au ni kiki tu...
  6. Random

    Hivi ushawahi kukutana na hii kitu

    Mim ilitokea mwaka 2015 mapema asbh, surual nliovaa janaake ilikuwa na walet nkasahau kuihamisha asbh nlipoibadilisha, fasta nkaiingia road nkamata mchuma mapemaa asbh gar ya kwanza au ya pili town moja nyomi had kweny bomba mlangoni, sina habari najiamin mara kono la chenchi likalizwa mbele...
  7. Random

    Fahamu zaidi: Tafiti

    Ushuzi wa wanawake unanuka zaidi kuliko wa Wanaume mojawapo ya sababu inayotajwa na watafiti ni kutokana na wanawake kuwa na uwingi wa gesi ya Hydrogen Sulfide. Source: Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Random

    Usipomnyanyapaa mwenye maradhi hatari (ya kuambukizwa i.e Virusi vya Corona) basi ni rahisi wewe kuambukizwa

    Muhim zaid nchi ikajikita kweny kutoa elimu kwa wananchi wake kupitia radio, tvs, mitandao ya kijamii, sms za kawaida kwa kila mweny cm n.k kufanya ivyo mara kwa mara na karib karib itasaidia kwa kias flan maambukiz kutokuea kwa haraka na kwa wayu wengi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Random

    Usipomnyanyapaa mwenye maradhi hatari (ya kuambukizwa i.e Virusi vya Corona) basi ni rahisi wewe kuambukizwa

    Kinga ni bora kuliko tiba. Karantini ni neno la kisomi lkn katika practice linarudi palepale kunyanyapaa, huenda kuna namna inayoruhusiwa kunyanyapaa kiataaluma tofauti na ile local tunayoijua sisi wengi mf. Kunyanyapaa kunakoruhusiwa ni kwa kutoa taarifa ktk mamlaka husika za kiserikal ili...
  10. Random

    Mwanaume: Kipimo cha akili yako ni mwanamke wako

    Fedha ni sehem tu ya malengo lkn makengo yana vary kutoka meanamke mmoja kwenda mwingne, lkn kwa kifup wanawake weng wa sasa lengo ni fedha na ndio maana na wew umeliona hilo Mfn, kuna wako weny kuitaj exposure ya familia flan (akiolewa kweny ukoo flan/kabila au rang flan anajihis confortable...
  11. Random

    Jinsi ya kuangalia ikiwa simu yako inaweza kudukuliwa na lipi la kufanya ikiwa "Ndiyo"

    1. Kama aina yako ya kifaa cha Android kimedumu kwa zaidi ya miaka miwili , angalia kama kinaweza kuboreshwa na kuwa cha kisasa (update) na kuwa katika mfumo mpya. Kama unatumia aina ya zamani kuliko Android 7.0 Nougat, jaribu kukiboresha kwa mfumo mpjya (update) kupitia mpangilio ama Settings>...
  12. Random

    Simu bilioni 1 za Android zimo hatarini kudukuliwa.

    Zaidi ya vifaa bilioni moja vya Androiod vimo katika hatari ya kudukuliwa kwasababu havilindwi na app za usalama au waangalizi wa usalama wake ambao wamesema hayo. Uwezekano wa kudukuliwa unawafanya watumiaji kote duniani kuwa katika kuweza kuiobiwa data au taarifa zao kwa kudaiwa kufanya jambo...
  13. Random

    Mwanaume: Kipimo cha akili yako ni mwanamke wako

    Iwe umeoa au unatarajia kuoa! Iwe ni mchumba au dem wako! Aina ya mwanamke ulienae au unaetarajia kuwa kuwa nae ina determin haiba yako, wako baadh ya wanaume husema kuwaambia wanaume wenzao '' aisee una bahat wew! N.k '' Faham; Bahat ni kitu kidogo sana kweny mafanikio, nyuma kuna jitihada...
  14. Random

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Pia ikiwa bei kwa unit imepanda ni utaratib gan unatumika kumjulisha mteja, au akutane nayo huko huko kweli bili bila tarifa za awal?
  15. Random

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Ningependa kufaham bei ya unit moja ya maji kwa matumiz ya nyumban ni tsh ngap?
Back
Top Bottom