Nilichoelewa mimi, 'maisha ni mafupi haya na muda (umri) unakimbia haraka; umri wako (ujana) unaruhusu, ardhi (ya kujiachia) hiyo imejaa tele, muda (hususani usiku) unaruhusu, nyimbo yangu hii nzuri inaruhusu sasa unasubiri nini kujichukulia msichana na kwenda kujipyambia?!!!'