Nadhani ni mapema sana kwa match mbili kujudge uwezo wa huyu mtu ila muda zaidi unahitajika kusema jambo kama hzi sifa ni stahiki au la.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kimewakuta Man.
Hakuna asieona kama weekend Man u walikutana na Beki bora iliowasumbua sana mashetani hao wekundu kwenye uwanja wa Amex stadium.
Kuna mambo kadhaa yakuojili leo lakini lazima tuseme haya ya wazi kabisaa.
UWEZO WA KUZUIA WALIONAO BRIGTHON. (DEFENCE ABILITY)
Hawa jamaa leo...
Nini kimewakuta Man U weekend hii??
Hakuna asieona kama leo Man u walikutana na Beki bora iliowasumbua sana mashetani hao wekundu kwenye uwanja wa Amex stadium.
Kuna mambo kadhaa yakuojili leo lakini lazima tuseme haya ya wazi kabisaa.
UWEZO WA KUZUIA WALIONAO BRIGTHON. (DEFENCE ABILITY)
Hawa...
Carvajal anaumea na kama lucas atacheza hiyo number maana yake casamiro atakuwa back msaidoz full time kama game iliopita.
Zidane sina mashaka na mfumo japo kunawakat selection inakuwa ngumu kwake.
Last game approach aliplan kucheza tofauti na alivyocheza na juve.
Juve aliweka viungo wanne...
CR7 hata kuwepo ila uweoo wa Asensio mimi na iman kubwa sana tunaibuka na goli si chini ya tatu japo hawa waka catalunya wanataka oia kudemostrate kuhusu wafubgwa wao wataifanya hii match kama display na watataka washinde. Tutashinda na hakika kikosi kiko sawa na bale na asensio wana uwezo wa...
Leo betis wako sawa sana yaan wako so quick on transution na pass zao ziko nakini. Not bad real angalau come back inatupa magoli. Kikubwa tuongeze hata moja au mbili hapo
Naomba kuuliza wadau wa sheria. Niriajiriwa bank na baada ya miezi sita nikapewa mkopo wa 10m na nikawa nalipa nikiwa mfanyakazi hapo bank. Nikapata fursa ya kuitwa na mwajiri wangu wa zamani kwa maana bank ajira ilikuwa kwenda polisi any time na dau la mara hii likawa zuri nikaenda. Bank...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.