HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 1,006
- 2,289
Hizi habari za injury kwa Marcelo, Luca na Toni hazibariki hata kidogo.
2nd leg kule Paris ilibidi tuwe na full squad
Hii kitu hata mwenyew ilinihuzunisha sana, nikitamani asingeingia kabisa, sababu refa alikuwa ameongeza dk 2 tu za majeruhi, ninadhan Zidane itabid akae chin na huyu kijana ili amwelewe aisee, Zidane na yeye alikuwa kama akina José MorinhoCeballos coming ON in the last few seconds is really sad. He didn't even touch the ball!
Kovacic ameshaanza kurudi, ninaona ameanza kujiamin tena, hii ni ishara nzuri sana kwake, kilichobaki ni yeye kufanyia kazi ishu yake ya kukaa na mpira sana wakati tunashambulia , Ile team B ya msimu uliopita ninaiona inarudi kidogo kidogo..Brilliant performance by Kovacic and Benzema.
Someone really needs to tell Isco that he's an amazing player but he has to play for the team. Very poor performance.
Hao siku hiyo watacheza hata kwa kupigwa ganzi, ila bado muda upo, Marcelo na Kroos wanaweza kuwepo, Modric ndio ninaiona kama anaweza akaanzia bench...![]()
Hizi habari za injury kwa Marcelo, Luca na Toni hazibariki hata kidogo.
2nd leg kule Paris ilibidi tuwe na full squad