Overall game ulikuwa ilikuwa poa kimtindo, tumepata ushindi japokuwa ni kwa tabu kidogo, Betis walijiamini sana, na ukizingatia game ya kwanza walitufunga kwetu plus trend ya team kwa ujumla iliwapa hamasa kubwa kuwa wanaweza kutufunga , na hilo liluwasaidia sana, licha ya kuwafunga mapema waliendelea kujituma bila kuchoka, hicho tu ndio kilifanya game kuwa ngumu..,
Ila walisahau kuwa vijana wamerudi katika viwango vyao japokuwa sio wote na sio kwa 100%, ila ninaona vijana wanarudi mdogo mdogo, amebaki Benz, Casemiro na Kova., nninadhan waliokuwa wanadhani kuwa watapata mteremko watakuwa wanajitafakari kwasasa!! [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]